Rais Samia atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Sekiete Selemani

Rais Samia atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Sekiete Selemani

Ajabu ya nchi hii ipo siku utasikia amepewa tena kitengo sehemu nyengine japokuwa ameshaonekana makosa yake.

Mimi hadi huwa nawaza kwani huwa hakuna watu wengine hata walio nje ya system ya serikali wanaostahiki hizo kazi kiasi kila siku wawe walewale hata waliokwisha kutuhumiwa kwa ubadhirifu?
Hiyo mwenyewe kabla ya Nzega alikuwa Mtaani tu.
Kikubwa Serikali ifuate muundo wa kiutumishi kwenye teuzi za Wakurugenzi.
 
Kumekucha uwanja wa wa Mkapa, Kitombile
Huyo mkurugenzi sekiete alikuwa hamna kitu kabisa, usimamizi mbovu, hana maono, hajui kuibua miradi, hajui kusimamia miradi, ni rushwa na kujaza kitambi tu, mtu wa ovyo sana, bora mama yetu kipenzi chetu samia ameliona hilo jibu tunamshukuru sana, pia panga hilo alielekeze kwa mkuu wa mkoa ambaye yupo kama hayupo na hajui Mwanza inataka nini.
 
Back
Top Bottom