Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Vipi aliyetumbulia sio mgalatia mwenzenu?? Naona hamkosoi wazee wadini ya chuki kwa islam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi aliyetumbulia sio mgalatia mwenzenu?? Naona hamkosoi wazee wadini ya chuki kwa islam
Hiyo mwenyewe kabla ya Nzega alikuwa Mtaani tu.Ajabu ya nchi hii ipo siku utasikia amepewa tena kitengo sehemu nyengine japokuwa ameshaonekana makosa yake.
Mimi hadi huwa nawaza kwani huwa hakuna watu wengine hata walio nje ya system ya serikali wanaostahiki hizo kazi kiasi kila siku wawe walewale hata waliokwisha kutuhumiwa kwa ubadhirifu?
Kumi La Mwisho, Angemwacha Mkurugenzi Afutulishe KwanzaHata ramadhan haijaisha
Pole yake
Haa Haa Islam DiniVipi aliyetumbulia sio mgalatia mwenzenu?? Naona hamkosoi wazee wadini ya chuki kwa islam
Huyo mkurugenzi sekiete alikuwa hamna kitu kabisa, usimamizi mbovu, hana maono, hajui kuibua miradi, hajui kusimamia miradi, ni rushwa na kujaza kitambi tu, mtu wa ovyo sana, bora mama yetu kipenzi chetu samia ameliona hilo jibu tunamshukuru sana, pia panga hilo alielekeze kwa mkuu wa mkoa ambaye yupo kama hayupo na hajui Mwanza inataka nini.Kumekucha uwanja wa wa Mkapa, Kitombile
Ni Mwalimu mwenzio. Anaenda zake kufungisha Chuo masuala ya ya Local Government!Aje mtaani tuwe madalali
Haimzuii kuwa dalali, si hata kilichomuondoa ni hichoNi Mwalimu mwenzio. Anaenda zake kufungisha Chuo masuala ya ya Local Government!
Kama aliajiriwa serikalini,atarudi kazini kwake.maajabu ni kua ule mshahara wa uDED haubadiriki hata kama ametenguliwaMkuu utoke wapi? Ndio basi tena.
Maisha yanasonga bila shidaKama aliajiriwa serikalini,atarudi kazini kwake.maajabu ni kua ule mshahara wa uDED haubadiriki hata kama ametenguliwa
Wizii ndiosifakubwaaa mkuuHuyu Bw Sekiete alitoka Nzega DC hadi Mwanza CC!
Sijui alifanya maajabu gani hapo Nzega hadi akapelekwa jijini.