Rais Samia atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Dkt. Raphael Chegeni

Rais Samia atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Dkt. Raphael Chegeni

Peter Madukwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
3,139
Reaction score
2,488
Kwa mujibu wa Taarifa ya Ikulu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassani, amemteua Meja Jenerali Suleimani Mungiya Mzee kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara na kutengua uteuzi wa Dr. Raphaeli Chegeni.

Pia Soma: Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wake wa kwanza Ikulu. Gerson Msigwa atolewa Ikulu, Dotto James ahamishwa. TPA, TCRA na TRA zapata wakuu wapya

Kabla ya uteuzi huo, Meja Jenerali Suleimani Mzee alikuwa Kamishina Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini.

#Mwakammojanasamia #kaziiendelee

20220731_190155.jpg
 
Siku chache baada ya Wakuu wa Mikoa wapya 9 kuteuliwa, Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Dkt. Raphael Masunga Chegeni

Amemteua Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, na ataapishwa na Wateule wengine kesho (Agosti 01, 2022)

Kabla ya uteuzi wa Rais, Meja Jenerali Mzee alikuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza (CGP)

9DCD7836-C00A-4BF2-A7E9-B3665C0DF968.jpeg


F9A95B03-E2AF-447D-A2C6-BB3E15DBBA68.jpeg
 
Rafiki yangu Mzee naona kawa demoted, ila ilikuwa ni dharau kwa jeshi la Magereza kuendeshwa na mtu kutoka JWTZ, Hayati Magufuli alikuwa ana maamuzi ya kipekee mno 😃

Kamishina wa Magereza ameondelewa naona mama anapanga safu yake vizuri kabisa, ndani ya miezi miwili hii huwenda wakuu wengine wa vyombo vya ulinzi na usalama waliobaki wakaondolewa rasmi.
 
Back
Top Bottom