Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Kuna nafasi ya katibu Mkuu viwanda na uwekezaji ipo wazi pengine atapelekwa huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huenda yupo ndani ya Dom tayariNa jumapili hii kuna kutengua na kutenguliwa,uyo aliyetenguliwa leo suti ya dukani alishaiandaa kabisa kwa ajili ya kesho kuapishwa....inaumiza kweli
Elimu yake tafadhali.Kuna nafasi ya katibu Mkuu viwanda na uwekezaji ipo wazi pengine atapelekwa huko
Hiyo ni nafasi ya utendaji aka utumishi wa umma (kwa maana ya kuajiriwa) na si ya utumishi wa umma hivyo hawezi kupewaKuna nafasi ya katibu Mkuu viwanda na uwekezaji ipo wazi pengine atapelekwa huko
Sifa anazoHiyo ni nafasi ya utendaji aka utumishi wa umma (kwa maana ya kuajiriwa) na si ya utumishi wa umma hivyo hawezi kupewa
Sa mbona hujawashauri wenzako wa 'system'?😅Suleiman Mzee mbona alikuwa yuko vizuri kwenye jeshi la Magareza?
Ni Mkuu wa Magereza amekuwa RC
Demotion kali eh? Ama
Huyo mwingine maskini na suti yake ya kesho itakua alikuwa nayo tayari
Duuh vetting haikufanyika nini?
halafu huyu jamaa si mzenji mwenzake mama,Yaah CGP kuwa Mkuu wa Mkoa ni demotion tu
Akiwa CGP alikuwa anasimamia magereza na miradi yao nchi nzima, ndo ana manage mafungu yote ya Magereza sasa leo kuwa RC ni kwamba kashuka sana
Wadau wanasema kama huna Mpango wa kumpa mtu kazi bhas usimdhalilisheJamaa usikute yupo Dar na mkewe kwa ajili ya uapisha anakutana na utenguzi [emoji3][emoji3]