Rais Samia atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Dkt. Raphael Chegeni

Rais Samia atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Dkt. Raphael Chegeni

Yawezekana pia jamaa kamwomba Mama amtengue
Wanaosali nae wamesema leo katoa shukrani fungu la kumi kubwa tu,na kushkuru kwa kuteuliwa na rais.
Baada ya hapo akaombe kutunguliwa???
 
Raisi wala hahitaji awasiliane akina unafaa. Nafasi fulani

Toka Tanzania ipate uhuru watu huwa surprised uteuzi akiwemo.Samia Suluhu Hasan alilia sana kusikia yeye mgombea Mwenza

Hata Phillip Mpango hakuambiwa kuwa yeye ndie atakuwa Makamu
Bado maelezo hayaendi popote.
Hao wateuzi hawana vigezo wanvyofuata katika uteuzi wao?
Wanateua tu watu wa "dharau" ili kesho yake wawatengue, na bado watu wanaona ni kawaida tu?
 
Kupigana, kukimbua na masanduku ya kura ni jadi ya CCM...
Nikupe dodoso, unawafahamu wanasiasa wa kanda ya ziwa ambao hawakupiga magoti na kuimba mapambio awamu ya Magufuli.....? Chegeni ni mmoja wao, sababu unajua ni kwanini...?
Sio kweli alafu huenda wengi huwajui, nikuulize ushawahi kuwasikia Hawa popote?
  • kiswaga destery
  • mansour hirani
  • iddi kassim
  • Leah Jeremiah
  • Simon lusengekile
  • kasalali mageni
  • tumaini Bryson
  • kundo Andrea
  • daudi silanga
Hao Ni baadhi ya wabunge wa Kanda ya ziwa, na huwezi kuwasikia hata kidogo. Sasa hayo magoti sijui uliyaona wapi
 
Yani Katia dole tu kwenye buyu la asali Ile anasema bismill..... wamemkata
 
Binafsi namkubali sana Mama kwasababu mengi anayoyafanya yamebeba dhamira njema. Lakini nafikiri kwasasa baadhi ya ushauri awe anaupokea lakini kwa wakati wake baadhi ya shauri anazoletewa awe anajaribu kupata uzoefu kwa wenzake waliomtangulia.

Nasema hivi kwasababu kuna mtu anaweza kukupa ushauri bila kujua au hata kwa interest zake. Nadhani ingekuwa Kipindi cha Nyerere, Mkapa, Mwinyi, JK hata JPM isingetokea Kumtoa Mkuu wa Chombo halafu Umpeleke Mkoani. Angepelekwa ubalozini au kama alitokea jeshini angerudishwa huko kupangiwa jukumu. Haijalishi ni chombo kipi lakini maadam ni chombo basi kichukuliwe hadhi sawa na IGP, UHAMIAJI, DGIS AU CDF hata kama ki protocol na Majukumu kuna mkubwa na mdogo. Sasa Mkuu wa chombo wa cheo cha jenerali anakwenda Mkoani level moja na Luteni Kanali wa Mtwara na Ruvuma
 
Kwa mizania ya kawaida tu, huu uteuzi wa Major General kuwa Mkuu wa Mkoa sijauelewa kabisa.Tena huyu Major General alikuwa Mkuu wa Magereza.
Mizania haiko sawa, Major General na Mkuu wa Magereza yuko too senior kuwa Mkuu wa Mkoa.
Wajuvi hanu mnieleweshe hapa!
Ni kawaida maana alimtoa mkuu wa JKT Major General Charles Mbuge na kumteua mkuu wa mkoa wa Kagera.
Kwa hiyo ni kawaida
 
Magu alifanya kwa yule ambae alishindwa kuapa na kumpiga pin pale pale ukumbini
Sasa huoni kama hapo ni issue tofauti, huyu alishindwa kuapa, huyu kabla hajaapa.
Lakini ni kawaida, mm sioni kama ni issue maana pengine Kuna files zilikua hazikamfikia vizuri
 
Binafsi namkubali sana Mama kwasababu mengi anayoyafanya yamebeba dhamira njema. Lakini nafikiri kwasasa baadhi ya ushauri awe anaupokea lakini kwa wakati wake baadhi ya shauri anazoletewa awe anajaribu kupata uzoefu kwa wenzake waliomtangulia.

Nasema hivi kwasababu kuna mtu anaweza kukupa ushauri bila kujua au hata kwa interest zake. Nadhani ingekuwa Kipindi cha Nyerere, Mkapa, Mwinyi, JK hata JPM isingetokea Kumtoa Mkuu wa Chombo halafu Umpeleke Mkoani. Angepelekwa ubalozini au kama alitokea jeshini angerudishwa huko kupangiwa jukumu. Haijalishi ni chombo kipi lakini maadam ni chombo basi kichukuliwe hadhi sawa na IGP, UHAMIAJI, DGIS AU CDF hata kama ki protocol na Majukumu kuna mkubwa na mdogo. Sasa Mkuu wa chombo wa cheo cha jenerali anakwenda Mkoani level moja na Luteni Kanali wa Mtwara na Ruvuma
uwezo wake kuchanganua mambo ni mdogo, kina bashiru hawakukosea ila basi tu hawakufanikiwa!
 
Watajijua wenyewe yani kazi wanapeana peana tuu sasa kweli amekosekana kijana wa kumpeleka akawe mkuu wa mkoa huko mpk awatauwe waliokwisha kula maisha weee
 
Ngoja tuendelee kushuhudia sarakasi mpaka 2025.
 
Umri wa kustaafu umefika unataka aendelee kuwa major generali?
kumbe wewe ni kihiyo kiasi hiki?
hujui major general hata akienda wapi atabaki na cheo chake?

siro mpk kesho ni IGP, ila tu kaondolewa madaraka ya CPF,
mzee mpk kesho ni Mj Gen, kaondolewa madaraka ya CGP......
 
Ni kawaida maana alimtoa mkuu wa JKT Major General Charles Mbuge na kumteua mkuu wa mkoa wa Kagera.
Kwa hiyo ni kawaida
mbuge si alikua brigadier wakati anapelekwa kagera?
yule major aliyemtoa jkt nafikiri ndiye yule alipelekwa kuwa mkuu wa mgambo
 
Back
Top Bottom