Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Sasa mtu anayepigana aulate ubunge ndio Leo aje kuukataa ukuu wa mkoa ikiwa ndio nafasi nzuri ya kujipanga.Ubunge hata Mimi ningeumia ila pia jinsi alivyofekwa ile style ya wa mwisho kuwa wa kwanza!
Huyu hata hajaimba mkuu, kashika mic tu mama kamwambia nyimbo zako sizitaki.😀😀
Za kuteuliwa zipo za aina mbili, kuna ambazo unakuwa mtumishi wa serikali na kuna ambazo ni za kisiasa au yeyote yule kulingana na mahitaji. Katibu mkuu wa wizara anateuliwa lakini kigezo lazima utumishi wa umma sio vinginevyo.Nafasi za kuteuliwa hazina hayo mambo
Sawa na kumteua Waziri Mkuu akawe Mkuu wa Wilaya akikaribia kustaafu!Umri wa kustaafu umefika unataka aendelee kuwa major generali?
Hawa watu huko nyuma waliteuliwa baada ya kustaafu kazi, ila kama wewe wa juzi huwezi kuelewaUsikariri, anaweza kuwa popote
Wote mnaropoka ropoka bila kuelewa undani wa haya mambo.Hana u smart wowote anaona ukuu wa mkoa utamnyima nafasi ya mbio zake za ubunge!! Anaona ukuu wa mkoa haulipi kama ubunge
Chegeni ana dharau mno hujiona yeye ndio yeye hataki ukuu wa mkoa anataka ubunge kamuulize Lowasa kilichomkuta baada ya kumdharau Kikwete Mwenyekiti CCM taifa akigombea uraisi aweza pita kura maini kugombea Uraisi CCM kuwa ana support kubwa!
Sifa hana kwa kuwa sio mtumishi wa serikali, unatakiwa kwanza uwe na ajira ya serikali ndipo uteuliwe kuwa katibu mkuuSifa anazo
Eleza wewe kwa nini kapigwa chini ChegeniWote mnaropoka ropoka bila kuelewa undani wa haya mambo.
Hilo bango hapo chiniNikifanya mahesabu yangu inaonekana Dr Chegeni amekataa hii nafasi
Hapa bongo hilo jambo halishindikani.Hiyo ni nafasi ya utendaji aka utumishi wa umma (kwa maana ya kuajiriwa) na si ya utumishi wa umma hivyo hawezi kupewa
Hivi hili neno Vetting nininiDuuh vetting haikufanyika nini?
Haijawahi tokea unaotaSawa na kumteua Waziri Mkuu akawe Mkuu wa Wilaya akikaribia kustaafu!
Mkuu 'YEHODAYA', mimi sijui "dhrau" au kitu kingine chochote kumhusu Chegeni. Kama yuko hivyo, hilo siyo swali langu.Dharau
Haoni cheo cha mkuu wa mkoa cha maana anataka ubunge
Hujapitia ranking za senior officer, ndio maana huelewi.Haijawahi tokea unatoa mfano sio
Profesa Mkumbo alikuwa mwajiriwa wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam pamoja na kwamba alikuwa ni mwanasiasa wa upinzani, chuo kikuu ni Shirika la Umma.Hapa bongo hilo jambo halishindikani.
Hivi Prof Kitila mkumbo, alivyounga juhudi alipewa cheo gani.??
Raisi wala hahitaji awasiliane kama unafaa Nafasi fulaniMkuu 'YEHODAYA', mimi sijui "dhrau" au kitu kingine chochote kumhusu Chegeni. Kama yuko hivyo, hilo siyo swali langu.
Kama anataka ubunge, kwani hapakuwa na mawasiliano yoyote kati yake na hao wateuzi? Hawa watu wanateuliwa tu hivi hivi na kutangazwa bila ya mawasiliano yoyote nao?
Ole sendeka usimchukulie powa wiki iliyopita nilisimama masaa matatu pale langai simanjiro naelekea mirerani kusubiri ng'ombe zake zipite.Chegeni huyu ninayemjua kaomba mwenyewe kutenguliwa, pesa anazo si za nawazo ..Isamilo Hotel ya jijini Mwanza, Majumba ya kutosha Dar, Dodoma, Mwanza nk...watoto wake wote wapo kwenye Financial institutions kubwa Dubai, Austraria na USA, mke wake.....niishie hapa nisije jichoresha Bure nyuma ya I'd feki! Kifupi jamaa pesa ipo, kwenye siasa Kawa mbuge wa Busega kuanzia kwa Mkapa hadi awamu ya tano alipoondelewa na yule dk wa mifugo....Kisha kuingia tena na baadae Jiwe akamuweka pembeni pamoja na kuongoza kura za maoni!
Kichwani jamaa yupo vizuri, exposure ya nchi za wenzetu pia SI haba...huyu kumpa ukuu wa Mkoa ni sawa na kumuweka kundi la akina Sendeka wachumia tumbo!
Tengua ya Leo ngoja tusubiri ufafanuzi vinginevyo rais wetu kazungukwa na mafisi kundi la watu wa ovyo kuwahi kutokea!