Rais Samia atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Dkt. Raphael Chegeni

Rais Samia atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Dkt. Raphael Chegeni

Nadhani kuna tatizo katika jambo lenyewe la uteuzi.

Hii siyo kawaida hata kidogo.
nawashangaa wanao shangaa Rais kufanya mabadiliko...hilo ni jambo la kawaida kabisaaa na siajabu hata kesho trh 1 Siku ya kuapishwa wapo watakao tenguliwa.

hakuna jambo la ajabu hapa......
Marekani iliwahi kumteua waziri wa mambo ya nje lkn kabla hajaapishwa akatenguliwa,
mifano ipo kibao ktk mataifa mbalimbali duniani.
 
TOKA MAKTABA :

22 January 2022

HAFLA YA CHAKULA, WAKUU WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA


Source : Javius Byarushengo
 
Jamani huyu mzee kapata kazi ya mkataba wa miaka 5 nchi moja wapo bara la Asia toka shirika la UN anaenda kusimamia maswala ya fedha japo siyo ndo atakuwa mkuu,

Jaribu kutafakari unaweza acha kazi ambayo ushasaini mkataba kisa kazi ya kuteuliwa ambayo hujui hatma yako

Mzee alimuandikia mama barua na maelezo ya kutosha mama kamuelewa kateua mwingine

Kesho mniite mbwa kama mama asiposema ameombwa
Mkuu mbona barua inasema ametengua?
 
Ni Mkuu wa Magereza amekuwa RC
Demotion kali eh? Ama

Huyo mwingine maskini na suti yake ya kesho itakua alikuwa nayo tayari
Mama kamkosea adabu sana Huyu Chegeni pamoja na usukuma wake mi nasema hapana, na aache kuendewa na muha wa burundi ktk kufanya maamuzi yanayowahusu watanzania hasa wabara.
kwa mwendo huu wallah tusijaribu tena kuteua wazanzibar kuongoza tanzania.

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Chegeni mkorofi sana alikuwa anahangaika kufanya kampeni za kuwa mbunge wenye pesa na marupurupu makubwa kuliko ukuu wa mkoa

Kakataa ukuu wa mkoa kaona kama Mama Samia hataki awe mbunge aweke mtu wake kugombea kumbe asichojua ni kuwa Mama Samia ndie bosi wa kamati kuchuja majina ! Ya nani agombee !!

Haya Chegeni endelea na kampeni zako 2025 utamjua Mama Samia kuwa ni Mwenyekiti wa CCM mwrnye nguvu au la

Kamuulize Lowasa alikuwa na dharau sana kwa Kikwete akiwa Mwenyekiti wa CCM muulize kilichomkuta

Jiandae kisaikolojia Chegeni
 
Jamani huyu mzee kapata kazi ya mkataba wa miaka 5 nchi moja wapo bara la Asia toka shirika la UN anaenda kusimamia maswala ya fedha japo siyo ndo atakuwa mkuu,

Mbunge wa Magu jimbo la Busega ?

Soma zaidi wasifu wa Dkt. Chegeni: bofya hapa chini :
 
Kwa mujibu wa Taarifa ya Ikulu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassani, amemteua Meja Jenerali Suleimani Mungiya Mzee kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara na kutengua uteuzi wa Dr. Raphaeli Chegeni.

Kabla ya uteuzi huo, Meja Jenerali Suleimani Mzee alikuwa Kamishina Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini.

#Mwakammojanasamia #kaziiendelee
View attachment 2310209
K
Kwa mujibu wa Taarifa ya Ikulu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassani, amemteua Meja Jenerali Suleimani Mungiya Mzee kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara na kutengua uteuzi wa Dr. Raphaeli Chegeni.

Kabla ya uteuzi huo, Meja Jenerali Suleimani Mzee alikuwa Kamishina Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini.

#Mwakammojanasamia #kaziiendelee
View attachment 2310209
Kwani Hapi alikuwa Mkuu wa Mkoa gani?
 
Nadhani kuna tatizo katika jambo lenyewe la uteuzi.

Hii siyo kawaida hata kidogo.
Chegeni ana dharau mno hujiona yeye ndio yeye hataki ukuu wa mkoa anataka ubunge kamuulize Lowasa kilichomkuta baada ya kumdharau Kikwete Mwenyekiti CCM taifa akigombea uraisi aweza pita kura maini kugombea Uraisi CCM kuwa ana support kubwa!
 
Unaangalia mafungu kwako ndio kipimo cha demotion,sasahivi huyo anapigiwa saluti na wakuu wote wa majeshi ya ulinzi na usalama,ni raisi katika mkoa wa mara.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
acha ufyatu eti anapigiwa salute na wakuu wote wa vyombo vya ulinzi na usalama.
shule yako darasa la ngapi kwanza nisije nikakutendea dhambi kumbe std seven nikamkosea Mungu

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Kwa mujibu wa Taarifa ya Ikulu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassani, amemteua Meja Jenerali Suleimani Mungiya Mzee kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara na kutengua uteuzi wa Dr. Raphaeli Chegeni.

Kabla ya uteuzi huo, Meja Jenerali Suleimani Mzee alikuwa Kamishina Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini.

#Mwakammojanasamia #kaziiendelee
View attachment 2310209
Hata kama tuna mamlaka lakini ile heshima ya kawaida ya kibinadamu iwepo. Tuwaheshimu wananchi na wasaidizi wetu.
 
Chegeni huyu ninayemjua kaomba mwenyewe kutenguliwa, pesa anazo si za nawazo ..Isamilo Hotel ya jijini Mwanza, Majumba ya kutosha Dar, Dodoma, Mwanza nk...watoto wake wote wapo kwenye Financial institutions kubwa Dubai, Austraria na USA, mke wake.....niishie hapa nisije jichoresha Bure nyuma ya I'd feki! Kifupi jamaa pesa ipo, kwenye siasa Kawa mbuge wa Busega kuanzia kwa Mkapa hadi awamu ya tano alipoondelewa na yule dk wa mifugo....Kisha kuingia tena na baadae Jiwe akamuweka pembeni pamoja na kuongoza kura za maoni!
Kichwani jamaa yupo vizuri, exposure ya nchi za wenzetu pia SI haba...huyu kumpa ukuu wa Mkoa ni sawa na kumuweka kundi la akina Sendeka wachumia tumbo!

Tengua ya Leo ngoja tusubiri ufafanuzi vinginevyo rais wetu kazungukwa na mafisi kundi la watu wa ovyo kuwahi kutokea!
Sasa ubunge anautaka wa nini?

Mbona hadi alirusha mangumi aliposhindwa ? Pesa anazo ubunge anautakia nini mpuuzi huyo si abaki na biashara zake?
 
Mkuu kwani neno tengua lina maana gani tuwekane sawa
Kutengua ni kumwondoa mteule na kwa mazoea ya TZ lazima awe amefanya mambo siyo mazuri kwenye utendaji wake wa kazi. Sasa huyu hata kuapa alikuwa bado hivyo neno kutengua limetumika sivyo hapo. Mwandishi angesema tu Rais amefanya mabadiriko kwenye wakuu wa mikoa alioteuwa juzi lakini si kutengua kwa sababu huyo mteuliwa bado hajaapa hivyo hajakubali uteuzi rasmi kisheria.
 
Back
Top Bottom