Rais Samia atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Dkt. Raphael Chegeni

Rais Samia atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Dkt. Raphael Chegeni

Hiyo ni dalili ya taasisi ya urais kufanya kazi kienyeji. Ni kipi kilimfanya akamteua, kisha ndani ya siku 2 abatilishe? Kuna watu wanasema taasisi ya urais iko makini, lakini kiukweli ni taasisi chache mno za serikali ziko makini, na huo ni mfano halisi wa udhaifu huo.
 
Mpaka Sasa Wakuu wa Mikoa Ambao Ni Wanajeshi Ni:
1. Kanali Laban Thomas- Ruvuma
2. Kanali Ahmed Abas -Mtwara
3. MJ Suleiman - Mara

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Balaa hili. Huyu kamishina wa magereza kapata demotion ta kufa mtu. Tuliambiwa ni mchapa kazi .Imekuwaje tena ?Chegeni nae nani kamchongea ?Dunia hii ving'ast wamejaa tele. Hapo baba wa watu kishashona suti. ***** 😂
Sidhani kama kamishina ameboronga bali ni mama anataka kuweka mstari sawa, ilikuwa ni kosa na ubabe wa kijinga kuwapelekea magereza kiongozi kutoka JW
 
Chegeni huyu ninayemjua kaomba mwenyewe kutenguliwa, pesa anazo si za nawazo ..Isamilo Hotel ya jijini Mwanza, Majumba ya kutosha Dar, Dodoma, Mwanza nk...watoto wake wote wapo kwenye Financial institutions kubwa Dubai, Austraria na USA, mke wake.....niishie hapa nisije jichoresha Bure nyuma ya I'd feki! Kifupi jamaa pesa ipo, kwenye siasa Kawa mbuge wa Busega kuanzia kwa Mkapa hadi awamu ya tano alipoondelewa na yule dk wa mifugo....Kisha kuingia tena na baadae Jiwe akamuweka pembeni pamoja na kuongoza kura za maoni!
Kichwani jamaa yupo vizuri, exposure ya nchi za wenzetu pia SI haba...huyu kumpa ukuu wa Mkoa ni sawa na kumuweka kundi la akina Sendeka wachumia tumbo!

Tengua ya Leo ngoja tusubiri ufafanuzi vinginevyo rais wetu kazungukwa na mafisi kundi la watu wa ovyo kuwahi kutokea!
Umeongea kama mh. Mpina.
 
nawashangaa wanao shangaa Rais kufanya mabadiliko...hilo ni jambo la kawaida kabisaaa na siajabu hata kesho trh 1 Siku ya kuapishwa wapo watakao tenguliwa.
 
Nadhani kuna tatizo katika jambo lenyewe la uteuzi.

Hii siyo kawaida hata kidogo.
 
Back
Top Bottom