Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado TIss na uhamiaji sasaSiku chache baada ya Wakuu wa Mikoa wapya 9 kuteuliwa, Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Dkt. Raphael Masunga Chegeni
Amemteua Meja Jenerali Suleiman Mungiya Mzee kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, na ataapishwa na Wateule wengine kesho (Agosti 01, 2022)
Kabla ya uteuzi wa Rais, Meja Jenerali Mzee alikuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza (CGP)
View attachment 2310242
View attachment 2310215
Ubalozi na ukuu wa mkoa,aliyepata shavu ni mkuu wa mkoa ndio representative wa raisi,balozi anaripoti kwa katibu mkuu wizara ya mambo ya nje
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums
Uncle Fogo iko hivi kwa tafsiri ya huku vijiweni ubalozi maana yake una nguvu za kiushawishi na Boss moja hakuihitaji kwenye siasa za ndani ( neutralisation of threats) URc maana yake anakutaka ila katika mamlaka madogo.Ubalozi na ukuu wa mkoa,aliyepata shavu ni mkuu wa mkoa ndio representative wa raisi,balozi anaripoti kwa katibu mkuu wizara ya mambo ya nje
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Asingekua anatokea kwenye media analialia kuenguliwa ubungeChegeni huyu ninayemjua kaomba mwenyewe kutenguliwa, pesa anazo si za nawazo ..Isamilo Hotel ya jijini Mwanza, Majumba ya kutosha Dar, Dodoma, Mwanza nk...watoto wake wote wapo kwenye Financial institutions kubwa Dubai, Austraria na USA, mke wake.....niishie hapa nisije jichoresha Bure nyuma ya I'd feki! Kifupi jamaa pesa ipo, kwenye siasa Kawa mbuge wa Busega kuanzia kwa Mkapa hadi awamu ya tano alipoondelewa na yule dk wa mifugo....Kisha kuingia tena na baadae Jiwe akamuweka pembeni pamoja na kuongoza kura za maoni!
Tengua ya Leo ngoja tusubiri ufafanuzi vinginevyo rais wetu kazungukwa na mafisi kundi la watu wa ovyo kuwahi kutokea!
Ndo maanake lazima yupo DodomaNa ukute jamaa alishakuwa amefika Dodoma tayari kwa uapisho kesho
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aiseee unajua majambo mzee wangu 🤣🤣🤣🤣Mmedangwa na nani amekua demoted ,kipesa cjui ila kicheo amepanda ,hapo sasa hivi anapigiwa saluti hadi na CDF .yeye ni sehemu ya rais wa nchi now
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Acha uongo. Chegeni namjua vizr walipigana ngumi na DR. Kamani. Unadhani hayo yote uliyoyataja hakuwa nayo! Licha ya hao lakin mwaka 2020 aligombea Tena.Chegeni huyu ninayemjua kaomba mwenyewe kutenguliwa, pesa anazo si za nawazo ..Isamilo Hotel ya jijini Mwanza, Majumba ya kutosha Dar, Dodoma, Mwanza nk...watoto wake wote wapo kwenye Financial institutions kubwa Dubai, Austraria na USA, mke wake.....niishie hapa nisije jichoresha Bure nyuma ya I'd feki! Kifupi jamaa pesa ipo, kwenye siasa Kawa mbuge wa Busega kuanzia kwa Mkapa hadi awamu ya tano alipoondelewa na yule dk wa mifugo....Kisha kuingia tena na baadae Jiwe akamuweka pembeni pamoja na kuongoza kura za maoni!
Tengua ya Leo ngoja tusubiri ufafanuzi vinginevyo rais wetu kazungukwa na mafisi kundi la watu wa ovyo kuwahi kutokea!
Ubunge hata Mimi ningeumia ila pia jinsi alivyofekwa ile style ya wa mwisho kuwa wa kwanza!Asingekua anatokea kwenye media analialia kuenguliwa ubunge
Teua, Tumbua, Teua, Tumbua ni dalili za kufeli kwenye mifumo!Duh.
Teua tengua...
Teua tengua.
Acha uongo. Chegeni namjua vizr walipigana ngumi na DR. Kamani. Unadhani hayo yote uliyoyataja hakuwa nayo! Licha ya hao lakin mwaka 2020 aligombea Tena.
Acha kupotosha. Hii ni serikali ya kishikaji. Nani amesahau ya MATARAGIO pale kampuni ya Mafuta
Tunahifadhi hii Risiti .Jamani huyu mzee kapata kazi ya mkataba wa miaka 5 nchi moja wapo bara la Asia toka shirika la UN anaenda kusimamia maswala ya fedha japo siyo ndo atakuwa mkuu,
Jaribu kutafakari unaweza acha kazi ambayo ushasaini mkataba kisa kazi ya kuteuliwa ambayo hujui hatma yako
Mzee alimuandikia mama barua na maelezo ya kutosha mama kamuelewa kateua mwingine
Kesho mniite mbwa kama mama asiposema ameombwa
Ngoja apambane na Wajita na Waruli walivyo wabishi ,[emoji56][emoji56][emoji38][emoji38][emoji38]Magereza sio fani yake angemrudisha tu Jeshini akatumikie taaluma yake, Mara hakina maajabu kama Ali Hapi alipamudu, mjeda wa nini sasa?
Kwanini hawezi kupewa?Hiyo ni nafasi ya utendaji aka utumishi wa umma (kwa maana ya kuajiriwa) na si ya utumishi wa umma hivyo hawezi kupewa
Jamaa timu Sumaye enzi zilee baadae Timu mamvi...Jiwe walikuwa kama maji na mafuta nadhani wewe ni mgeni kwenye siasa za matope za hapa Tanganyika!Push Gang flush out!