Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Duuh hatari, ngoja tuone kesho Bi. Mdashi atasemaje baada ya kuapisha wateule wakeNa suti yake ipo kwa fundi ndio anamalizia kupiga pasi,fundi kaambiwa kata simu kata simu,mama anapiga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh hatari, ngoja tuone kesho Bi. Mdashi atasemaje baada ya kuapisha wateule wakeNa suti yake ipo kwa fundi ndio anamalizia kupiga pasi,fundi kaambiwa kata simu kata simu,mama anapiga.
Anaweza kumrudisha tena kwa maana hizi teuzi ni za unanijua mimi ni nani!Duuh hatari, ngoja tuone kesho Bi. Mdashi atasemaje baada ya kuapisha wateule wake
Hoseah? Huyu aliyetajwa kwenye Richmond?Hamduni ana mwaka Sasa katulia tuli, PCCB ilikufa na Dr Hosseah Hawa polisi na Todd wanacheza segere tu no productivity sofar
Ni kweli lakini kwa awamu hizi sivyo, watu wengi tu wamepewa nafasi za utumishi na hawakuwa watumishi. Anzia wakurugenzi wa halmashauri mpaka katibu wakuu!
Wanasiasa wameshavuruga huo utaratibu hivyo usikariri Mkuu.
Ukweli kuhusu magereza upoje❓ebu tuelezee nini kimetokea magereza❓Wote mnaropoka ropoka bila kuelewa undani wa haya mambo.
Sasa huyo wa kagera karejea JKT ama kasitaafu?Ni kawaida maana alimtoa mkuu wa JKT Major General Charles Mbuge na kumteua mkuu wa mkoa wa Kagera.
Kwa hiyo ni kawaida
Lini anawapitia wakuu wa wilaya hususani kasikazini?Duu mama anaupiga mwing
Wakuu wa wilaya ni zamu yao sasa yafaa afanye mabadiliko ha huko pia hususani mikoa ya kasikaziniPengine pia kaomba aachwe apumzike
Una maana aliteuliwa na kutangazwa hewani bila yeye kujulishwa? Kama ni hivyo basi uteuzi una walakini!Jamani huyu mzee kapata kazi ya mkataba wa miaka 5 nchi moja wapo bara la Asia toka shirika la UN anaenda kusimamia maswala ya fedha japo siyo ndo atakuwa mkuu,
Jaribu kutafakari unaweza acha kazi ambayo ushasaini mkataba kisa kazi ya kuteuliwa ambayo hujui hatma yako
Mzee alimuandikia mama barua na maelezo ya kutosha mama kamuelewa kateua mwingine
Kesho mniite mbwa kama mama asiposema ameombwa
Nasubiria UDAS labda naweza kuonekana! Mungu mpe Afya Njama Rais wetu Mpendwa SSH.Bado TIss na uhamiaji sasa
Msisahau Rais huwa hakosei jamani...!Nadhani kuna tatizo katika jambo lenyewe la uteuzi.
Hii siyo kawaida hata kidogo.
Ndebile ulimhola bhabhaChegeni huyu ninayemjua kaomba mwenyewe kutenguliwa, pesa anazo si za nawazo ..Isamilo Hotel ya jijini Mwanza, Majumba ya kutosha Dar, Dodoma, Mwanza nk...watoto wake wote wapo kwenye Financial institutions kubwa Dubai, Austraria na USA, mke wake.....niishie hapa nisije jichoresha Bure nyuma ya I'd feki! Kifupi jamaa pesa ipo, kwenye siasa Kawa mbuge wa Busega kuanzia kwa Mkapa hadi awamu ya tano alipoondelewa na yule dk wa mifugo....Kisha kuingia tena na baadae Jiwe akamuweka pembeni pamoja na kuongoza kura za maoni!
Kichwani jamaa yupo vizuri, exposure ya nchi za wenzetu pia SI haba...huyu kumpa ukuu wa Mkoa ni sawa na kumuweka kundi la akina Sendeka wachumia tumbo!
Tengua ya Leo ngoja tusubiri ufafanuzi vinginevyo rais wetu kazungukwa na mafisi kundi la watu wa ovyo kuwahi kutokea!
Nalimhola, kinehe mkoi?Ndebile ulimhola bhabha
Sipo kubishana haya tufanye umeshindaKwa hiyo unataka nikutolee mifano ya miaka ya 80 hata Kama nimesahau?
Wanawake huwajui wewe, kusikiliza umbeya ni kawaida Yao.Ilikuwaje akateuliwa?
Kutakuwa na shida mahali au mhusika kagoma hataki hiyo nafasi...Sure man...
Sijui shida i wapi, hii si mara ya kwanza au ya pili n.k kwa mamlaka kupangua gia za teuzi juu kwa juu kabla hata wahusika hawajasema alhamdulilah!
Nadhani utasaidia wengi ambao hawamjui, Dk. Chegeni umeandika vyema.Chegeni huyu ninayemjua kaomba mwenyewe kutenguliwa, pesa anazo si za nawazo ..Isamilo Hotel ya jijini Mwanza, Majumba ya kutosha Dar, Dodoma, Mwanza nk...watoto wake wote wapo kwenye Financial institutions kubwa Dubai, Austraria na USA, mke wake.....niishie hapa nisije jichoresha Bure nyuma ya I'd feki! Kifupi jamaa pesa ipo, kwenye siasa Kawa mbuge wa Busega kuanzia kwa Mkapa hadi awamu ya tano alipoondelewa na yule dk wa mifugo....Kisha kuingia tena na baadae Jiwe akamuweka pembeni pamoja na kuongoza kura za maoni!
Kichwani jamaa yupo vizuri, exposure ya nchi za wenzetu pia SI haba...huyu kumpa ukuu wa Mkoa ni sawa na kumuweka kundi la akina Sendeka wachumia tumbo!
Tengua ya Leo ngoja tusubiri ufafanuzi vinginevyo rais wetu kazungukwa na mafisi kundi la watu wa ovyo kuwahi kutokea!