Rais Samia atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Dkt. Raphael Chegeni

Rais Samia atengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Mara, Dkt. Raphael Chegeni

TOKA MAKTABA :

14 March 2022

TheBigAjenda: ALIYEKUWA MBUNGE WA BUSEGA DKT RAPHAEL CHEGENI AKITOA MTAZAMO KUHUSU MAPUNGUFU YA AWAMU YA TANO NA HII YA SITA.



Source: Star TV Habari
 
Ni kweli lakini kwa awamu hizi sivyo, watu wengi tu wamepewa nafasi za utumishi na hawakuwa watumishi. Anzia wakurugenzi wa halmashauri mpaka katibu wakuu!

Wanasiasa wameshavuruga huo utaratibu hivyo usikariri Mkuu.

Umesema kweli, huenda huyu jamaa amebaki na sheria zinavyotaka na sio uhalisia ulivyo. Niliona mwanajeshi amechaguliwa kwenda kuwa mkuu wa jeshi la magereza, huku ukurugenzi wa halmashauri wakipewa baadhi ya Makada wa CCM waliokosa ubunge, kama sehemu ya kuwapoza na kupandikiza uchama dola ndani ya Serikali.
 
Jamani huyu mzee kapata kazi ya mkataba wa miaka 5 nchi moja wapo bara la Asia toka shirika la UN anaenda kusimamia maswala ya fedha japo siyo ndo atakuwa mkuu,

Jaribu kutafakari unaweza acha kazi ambayo ushasaini mkataba kisa kazi ya kuteuliwa ambayo hujui hatma yako

Mzee alimuandikia mama barua na maelezo ya kutosha mama kamuelewa kateua mwingine

Kesho mniite mbwa kama mama asiposema ameombwa
Una maana aliteuliwa na kutangazwa hewani bila yeye kujulishwa? Kama ni hivyo basi uteuzi una walakini!
 
Chegeni huyu ninayemjua kaomba mwenyewe kutenguliwa, pesa anazo si za nawazo ..Isamilo Hotel ya jijini Mwanza, Majumba ya kutosha Dar, Dodoma, Mwanza nk...watoto wake wote wapo kwenye Financial institutions kubwa Dubai, Austraria na USA, mke wake.....niishie hapa nisije jichoresha Bure nyuma ya I'd feki! Kifupi jamaa pesa ipo, kwenye siasa Kawa mbuge wa Busega kuanzia kwa Mkapa hadi awamu ya tano alipoondelewa na yule dk wa mifugo....Kisha kuingia tena na baadae Jiwe akamuweka pembeni pamoja na kuongoza kura za maoni!
Kichwani jamaa yupo vizuri, exposure ya nchi za wenzetu pia SI haba...huyu kumpa ukuu wa Mkoa ni sawa na kumuweka kundi la akina Sendeka wachumia tumbo!

Tengua ya Leo ngoja tusubiri ufafanuzi vinginevyo rais wetu kazungukwa na mafisi kundi la watu wa ovyo kuwahi kutokea!
Ndebile ulimhola bhabha
 
Sure man...

Sijui shida i wapi, hii si mara ya kwanza au ya pili n.k kwa mamlaka kupangua gia za teuzi juu kwa juu kabla hata wahusika hawajasema alhamdulilah!
Kutakuwa na shida mahali au mhusika kagoma hataki hiyo nafasi...
 
Chegeni huyu ninayemjua kaomba mwenyewe kutenguliwa, pesa anazo si za nawazo ..Isamilo Hotel ya jijini Mwanza, Majumba ya kutosha Dar, Dodoma, Mwanza nk...watoto wake wote wapo kwenye Financial institutions kubwa Dubai, Austraria na USA, mke wake.....niishie hapa nisije jichoresha Bure nyuma ya I'd feki! Kifupi jamaa pesa ipo, kwenye siasa Kawa mbuge wa Busega kuanzia kwa Mkapa hadi awamu ya tano alipoondelewa na yule dk wa mifugo....Kisha kuingia tena na baadae Jiwe akamuweka pembeni pamoja na kuongoza kura za maoni!
Kichwani jamaa yupo vizuri, exposure ya nchi za wenzetu pia SI haba...huyu kumpa ukuu wa Mkoa ni sawa na kumuweka kundi la akina Sendeka wachumia tumbo!

Tengua ya Leo ngoja tusubiri ufafanuzi vinginevyo rais wetu kazungukwa na mafisi kundi la watu wa ovyo kuwahi kutokea!
Nadhani utasaidia wengi ambao hawamjui, Dk. Chegeni umeandika vyema.
 
Back
Top Bottom