Rais Samia atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji kwa mtoto

Usaliti ni laana
 
Nilifikiri angeanza kuwasimamisha wale wahujumu uchumi waliotajwa kwenye ripoti ya CAG, nk. Kabla ya kuanza na huyu aliyeshutumiwa. Maana bado ukweli halisi haujajulikana!

Au alikuwa anamvutia kasi ili nafasi yake ichukuliwe na mwingine?
Nenda na wewe ukakalie chupa kama imekuuma huyu boss wako kutenguliwa
 
Huyo Waziri angeshauriwa ajiuzulu kwa maslahi ya chama na serikali.

Kitendo cha kutenguliwa kinatengeneza mfano mbaya kwa watendaji wa serikali.

Tutashuhudia clip nyingi sana za maovu ya viongozi kwa wananchi, na wasipotenguliwa ndio shughuli itaanzia hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…