Rais Samia atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji kwa mtoto

Mi mtu anayefanya kitu kwa ushirikina kisingizio it means imeanzia huko ila ni ujinga kuamini uchawi mtu aliyesoma sana huwezi kukuta anawaza UJINGA KAMA HUO
 
Kiongozi wa umma unapopata kashfa nzito namna hii hekima ya kwanza ni kujiuzulu, Gekul angemwomba Mama kujiuzulu ili kupisha uchunguzi hata public ingemsikiliza ila kangojea kuwajibishwa kupisha hatua nyingine ni aibu kwake sasa.
 
Ni muhimu pia kuchangia mijadala kwa nidhamu hasa ile inayogusa Wakubwa.

Maana kama wao wapo humu vipi Chawa wao ambao wanapeleka umbeya kila saa 🙌
 
Wapo wanaofanya unyama kupita huyu Gekul....pamoja na wananchi kulalamika na ushahidi juu bado wanadunda kwenye nafasi zao....anajua mwenyewe moyoni mwake anatumia kigezo gani kutengua....binafsi naona ni maigizo tu ya kujipatia umaarufu kizembezembe...asafishe kote kunakonuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…