Rais Samia atengua Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya za Temeke na Kilindi

Acha uongo. Mwigulu alitenguliwa akiwa Kigoma huko bila taarifa wala nini.Wale viongozi wa chama cha walimu si juzi tu wamegomea ukuu wa wilaya na majina yalikuwa tayari mkekani.
Komaa na komwe lako
 
Ingekuwa enzi za JPM alikuwa anasema sababu ya kukutengua, maana hata aliyekuwaga DAS wa Kisarawe wakati anamtengua alisema sababu kuwa ni kutembea na wake za watu

Ila Madam President hajawahi kusema
 
Sasa huyu mkuu wa wilaya ya Tanga ,naona kama ni demotion kutoka kuwa kamishina wa kupambana na madawa ya kulevya mpaka wilayani? Hadhi yake ni sawa na IGP,Cdf,CGi
Angempa hata ukuu wa mkoa.
 
Wewd ndio ni unamawazo hayo lakini kabla ya mtu kuteuliwa huwa anajulishwa kwanza na kuna makaratasi anasaini kukubali uteuzi, vivo hivyo kwa anaetenguliwa taarifa anapewa hata kabla haijawa public.
Mwigulu wakati anatumbuliwa na Jiwe ulikuwa bado hujaja Tanzania? Kangi Lugola je?
 
Ndio maana nikasema kwamba wewe unatumiwa na wakwepa ushuru wa bandarini, wapitisha madawa ya kulevya na wezi wa vifaa vya magari na vitu mbali mbali vilivyopo pale bandarini.

Haiwezekani mtu mwenye akili yako huru na ambayo haijawekwa mfukoni na mtu yoyote utoe tuhuma bila kuweka ushahidi wa kile unachokituhumu afu utegemee mtu mwenye akili timamu kama mimi nitaungana na wewe kupigania masilahi ya wajanja wachache niliowataja hapo juu.

Weka mkataba wote hapa tuangalia hayo uliyoyaandika hapa kama yana ukweli kwa faida ya wasomaji wote.

Mimi sio mtu wa kuandikiwa au kuambiwa tu vitu na mtu au mwanasiasa fulan na mimi nianze kupanua mdomo bila kuoneshwa ushahidi, kwa faida yake yeye na familia yake.

Weka huo mkataba hapa tuone haya uliyoyaandika na kama hauna basi nitaamini kuwa na wew ni miongoni mwa waliolishimwa matango pori na wanufaika wa bandarini.
 
Mpaka kielewe katika sauti ya Freeman Eikael
 
Hawa wakuu wa Wilaya za Kilindi na Temeke wamekosea wapi tena ..si teuzi za juzi tu hapa...???

Halafu huyu Mobhare si tuliambiwa humu na wajuvi wa nchi hii kwamba ni moja ya Senior Officers na wenye nafasi pana pale kwa Mtakatifu 'Peter'...nae kaunguza nn ... hadi kupelekwa kuwa Mkuu wa Wilaya?

Tumeshazoea Wakazi wa pale ... mara nyingi huenda kuwa RAS wa huko nyanda za linakozama jua...whats happened kwa huyu Mnene!!!

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Ni jambo jema,

Turudi kwenye mjadala kuhusu Bandari πŸ™πŸ™πŸ™
 
Huyu James kaji toka kamishna wa kupambana na dawa za kulevya mpaka ukuu wa wilaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…