Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,951
- 9,977
Ukurugenzi wa Mkoa ndio cheo gani mkuu?Samia ana dharau jamani. Kaji kutoka kamishina wa Taasisi ya kuzuia madawa ya kulevya hadi kuwa mkuu wa wilaya. Hatareee. Angempa walau ukuu wa mkoa au ukurugenzi wa mkoa basi.