fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Haha enzi za Magu ulikuwa International Space Station ISS nini mkuu? Mama hamfikii Magu hata theruthi kwa kutengua na kuteuaNdo Rais mpaka sasa anayeongoza kwa kutengua na kuteua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha enzi za Magu ulikuwa International Space Station ISS nini mkuu? Mama hamfikii Magu hata theruthi kwa kutengua na kuteuaNdo Rais mpaka sasa anayeongoza kwa kutengua na kuteua.
Sio mbaya anakula ile ya ukamishna na hii ajira mpya pia.Huyu James kaji toka kamishna wa kupambana na dawa za kulevya mpaka ukuu wa wilaya
Ilikuwa style ya Magu ya kukupima unyenyekevu wako, Diwani alitolewa DCI akafanywa RAS akakaaa kimyaaaa miezi michache baadae akwa DG TISSSio mbaya anakula ile ya ukamishna na hii ajira mpya pia.
Mimi Mbara lakini tusimuhukumu kwa uzanzibari, tumkosoe akikosea tu nadhani ndo njia sahihi na yeye ya kujua wapi kakosea ila tukiweka udini uzanzibari kosa sana , mkapa katuuza sana na ni mkatoliki na mbaraNdiyo kazi anayo iweza huyo mzanzibari
Ila mama alipomtoa hapo kwenye DG TISS na kumpeleka Ikulu kama Katibu ikawaje?😀😀Ilikuwa style ya Magu ya kukupima unyenyekevu wako, Diwani alitolewa DCI akafanywa RAS akakaaa kimyaaaa miezi michache baadae akwa DG TISS
Pale nahisi kamtega , hamwamini sana kuiongoza TISS lakini hataki kumweka mbali kutokana na ujuzi wake na umri bado sana , Na jamaa ni very resoursefull ila mkimya sana mpaka anawaogopesha wakubwa . ( Hayo mawazo yangu tu kwa ninavyomfahamu kidogo enzi yupo polisi hakuna mtu aliwahi kuhisi jamaa yupo state dept)Ila mama alipomtoa hapo kwenye DG TISS na kumpeleka Ikulu kama Katibu ikawaje?😀😀
SawasawaMasaa ya kulala kwa afya ni kuanzia 6
🤣🤣Haha enzi za Magu ulikuwa International Space Station ISS nini mkuu? Mama hamfikii Magu hata theruthi kwa kutengua na kuteua
Mojawapo ya ujinga wa hii nchi unaotokana na katiba ya kipumbavu.Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuboresha safu ya utendaji kazi kwa kufanya mabadiliko madogo katika nafasi za Wakuu wa Wilaya kama ifuatavyo:-View attachment 2676702
"ukurugenzi wa mkoa" ni nafasi mpya hiyo dada Victoire !!??Samia ana dharau jamani. Kaji kutoka kamishina wa Taasisi ya kuzuia madawa ya kulevya hadi kuwa mkuu wa wilaya. Hatareee. Angempa walau ukuu wa mkoa au ukurugenzi wa mkoa basi.
Na kukopa ,nchi imegeuka kama vikoba, unakopa huku unalipa huku,Ndiyo kazi anayo iweza huyo mzanzibari
Ndiyo changamoto hizo uzuri mshahara wake mkubwa kama boss huko tiss anaendelea kupokea mshahara wa ukuu wa wilaya ni bonusSamia ana dharau jamani. Kaji kutoka kamishina wa Taasisi ya kuzuia madawa ya kulevya hadi kuwa mkuu wa wilaya. Hatareee. Angempa walau ukuu wa mkoa au ukurugenzi wa mkoa basi.
Zaidi ya Ubaguzi sijui tunaelekea wapi?!!UBAGUZI!!
Kama huyu James Wilbert Kaji ni yule wa TISS aliyewahi kuwa PSU kabla ya kwenda Mbeya kuwa ama RSO au DSO kisha akaja kuwa Kamishina Mkuu wa DCEA na Kuharibu mno huku akichukiwa na Watendaji wengi na akiwa na Sifa Kuu ya Ujeuri na Dharau kwakuwa alikuwa anatokea Mkoa na Eneo atokalo Hayati Magufuli na wana Undugu nae ndiyo Kateuliwa na Mheshimiwa Rais Samia sasa taratibu GENTAMYCINE naanza Kuamini Utawala huu wa sasa una Mapungufu makubwa yanayoelekea Kuihatarisha nchi na Ustawi wake Siku si nyingi.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 02 Julai, 2023 amefanya mabadiliko madogo ya Wakuu wa Wilaya kama ifuatavyo:
1) Ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mwanahamisi Athumani Munkunda na kumteua Mobhare Holmes Matinyi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.
2) Ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Kilindi, Abel Yeji Busalama. Amemhamisha kituo Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mjini, Hashim Shaib Mgandilwa kwenda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilindi.
3) Amemteua James Wilbert Kaji kuwa Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mjini.
View attachment 2676676
Hapo sasa. [emoji32][emoji32][emoji32]Mtu kashalala saa hizi kapasiwa na nguo za kesho za kazini, anamka asubuhi akiwa anamsubiria dereva wake aje amchukue anashangaa kupata breaking news kuwa katumbuliwa