Rais Samia atetemesha, apongezwa kila kona kwa uzalendo wake wa kutanguliza mbele taifa

Rais Samia atetemesha, apongezwa kila kona kwa uzalendo wake wa kutanguliza mbele taifa

Wewe si chawa ni kupe kabisa. Mtu hataki umsifie kinafiki lakini hukomi!
 
Wenzio wengi wamesifia sana na kuweka namba sana wamechoka wenyewe baada ya kuona hawateuliwi wakabadiri gear.
Njia nzuri ya mkato ukamfute viatu na kulamba miguu kama utapata nafasi
 
Ndugu zangu Rais Samia Ameendelea Kudhihirisha kwanini anapendwaa na kukubalika na watanzania,Amethibitisha sababu za mamilioni ya watanzania Kuendelea kumwamini na kumuunga mkono katika juhudi zake za kulijenga Taifa,Amethibitisha sababu za Tanzania Kuendelea kuwa yenye Amani,utulivu , mshikamano na upendo miongoni mwa watanzania.

Rais Samia Amethibitisha uzalendo na upendo wake kwa Taifa hili, Ameonyesha namna Taifa Hili lilivyokaa katika kifua chake, ameonyesha namna anavyoipenda Tanzania,Ameonyesha kuwa yupo madarakani kwa ajili ya Tanzania na watanzania,Ametoa Funzo kwa watu,kwa viongozi na kwa watanzania wenye ndoto ya kuwa viongozi kuwa uongozi Ni utumishi kwa watu na siyo mahali pa kuhitaji kuabudiwa na kusujudiwa,Ameonyesha kwa matendo na kauli kuwa Mwenyezi Mungu alimuinua na kumweka hapo ili kuwatumikia watu na siyo kutumikiwa na watu. Ameonyesha yupo hapo Alipo na anatenda yote atendayo kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rais Samia Ameendelea kuonyesha unyenyekevu wake,usikivu wake Na ucha Mungu wake. Anaendelea kuwafundisha watu kuwa hata ukiwa kiongozi wa ngazi ya juu bado wewe Ni mwanadamu unayepaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye hofu ya Mungu huku ukijuwa kuwa vyeo na Madaraka Ni vya kupita na vyote hutoka kwa Mwenyezi Mungu muumba wa Mbingu Na Dunia.

Rais Samia Hataki kutumikiwa yeye Kama yeye Bali anataka kila mmoja wetu alitumikie na kulipigania Taifa letu.Anataka watanzania Tuendelee kulipenda Taifa letu.Rais Samia Ni Mzalendo wa dhati mwenye moyo wa upendo kwa Taifa letu tunayepaswa kumuunga mkono kwa nguvu zetu zote

Watanzania Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kwa kuwa Ameendelea kuonyesha namna anavyoipenda Tanzania na watanzania. Ndio sababu ya kuona akihangaika huku na kule katika juhudi za kulijenga Taifa letu.

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Rais Samia amekataa kusifiwa kwanini umeng'ang'ania kumsifu.
 
Mkuu anaona aibu kuacha kumeza anashindwa kutema anashindwa.
Mimi Ni mzalendo kwa Taifa langu ndio maana nampongeza Rais Samia kwa uzalendo Wake kwa Taifa letu hasa kwa kuzingatia kuwa nilimpigia kura na anatekeleza kile alichoahidi kupitia ilani ya ccm. Mimi Kama mkulima nimeguswa na Utendaji kazi wake kupitia mbolea za Ruzuku lakini pia kwa namna ambavyo soko la mazao yetu limekuwa zuri na la uhakika na hivyo kutufanya wakulima kunufaika na jasho letu
 
Rais Samia amekataa kusifiwa kwanini umeng'ang'ania kumsifu.
Nitaendelea kumpongeza Rais Samia na serikali Yake kwa kazi kubwa anayoendelea kuifanya katika kututumikia watanzania. Wala siyo jinai maana nilimpigia kura na hivyo Sina budi kumpongeza na kumsifia pale anapofanya vizuri kwa kile alichoahidi kupitia ilani ya CCM
 
Wenzio wengi wamesifia sana na kuweka namba sana wamechoka wenyewe baada ya kuona hawateuliwi wakabadiri gear.
Njia nzuri ya mkato ukamfute viatu na kulamba miguu kama utapata nafasi
Kwani wapi nilipoandika kuwa hii Ni barua ya maombi
 
Ndugu zangu Rais Samia Ameendelea Kudhihirisha kwanini anapendwaa na kukubalika na watanzania,Amethibitisha sababu za mamilioni ya watanzania Kuendelea kumwamini na kumuunga mkono katika juhudi zake za kulijenga Taifa,Amethibitisha sababu za Tanzania Kuendelea kuwa yenye Amani,utulivu , mshikamano na upendo miongoni mwa watanzania.

Rais Samia Amethibitisha uzalendo na upendo wake kwa Taifa hili, Ameonyesha namna Taifa Hili lilivyokaa katika kifua chake, ameonyesha namna anavyoipenda Tanzania,Ameonyesha kuwa yupo madarakani kwa ajili ya Tanzania na watanzania,Ametoa Funzo kwa watu,kwa viongozi na kwa watanzania wenye ndoto ya kuwa viongozi kuwa uongozi Ni utumishi kwa watu na siyo mahali pa kuhitaji kuabudiwa na kusujudiwa,Ameonyesha kwa matendo na kauli kuwa Mwenyezi Mungu alimuinua na kumweka hapo ili kuwatumikia watu na siyo kutumikiwa na watu. Ameonyesha yupo hapo Alipo na anatenda yote atendayo kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rais Samia Ameendelea kuonyesha unyenyekevu wake,usikivu wake Na ucha Mungu wake. Anaendelea kuwafundisha watu kuwa hata ukiwa kiongozi wa ngazi ya juu bado wewe Ni mwanadamu unayepaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye hofu ya Mungu huku ukijuwa kuwa vyeo na Madaraka Ni vya kupita na vyote hutoka kwa Mwenyezi Mungu muumba wa Mbingu Na Dunia.

Rais Samia Hataki kutumikiwa yeye Kama yeye Bali anataka kila mmoja wetu alitumikie na kulipigania Taifa letu.Anataka watanzania Tuendelee kulipenda Taifa letu.Rais Samia Ni Mzalendo wa dhati mwenye moyo wa upendo kwa Taifa letu tunayepaswa kumuunga mkono kwa nguvu zetu zote

Watanzania Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kwa kuwa Ameendelea kuonyesha namna anavyoipenda Tanzania na watanzania. Ndio sababu ya kuona akihangaika huku na kule katika juhudi za kulijenga Taifa letu.

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: Lucas anatafuta ureuzu Kama ndege ya kuvita.Ahaaa pole ndugu hauwezi kupata hata siku moja.Acha ujinga wa kusifia Kama SAFIA alivyokataa.
 
Ndugu zangu Rais Samia Ameendelea Kudhihirisha kwanini anapendwaa na kukubalika na watanzania,Amethibitisha sababu za mamilioni ya watanzania Kuendelea kumwamini na kumuunga mkono katika juhudi zake za kulijenga Taifa,Amethibitisha sababu za Tanzania Kuendelea kuwa yenye Amani,utulivu , mshikamano na upendo miongoni mwa watanzania.

Rais Samia Amethibitisha uzalendo na upendo wake kwa Taifa hili, Ameonyesha namna Taifa Hili lilivyokaa katika kifua chake, ameonyesha namna anavyoipenda Tanzania,Ameonyesha kuwa yupo madarakani kwa ajili ya Tanzania na watanzania,Ametoa Funzo kwa watu,kwa viongozi na kwa watanzania wenye ndoto ya kuwa viongozi kuwa uongozi Ni utumishi kwa watu na siyo mahali pa kuhitaji kuabudiwa na kusujudiwa,Ameonyesha kwa matendo na kauli kuwa Mwenyezi Mungu alimuinua na kumweka hapo ili kuwatumikia watu na siyo kutumikiwa na watu. Ameonyesha yupo hapo Alipo na anatenda yote atendayo kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rais Samia Ameendelea kuonyesha unyenyekevu wake,usikivu wake Na ucha Mungu wake. Anaendelea kuwafundisha watu kuwa hata ukiwa kiongozi wa ngazi ya juu bado wewe Ni mwanadamu unayepaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye hofu ya Mungu huku ukijuwa kuwa vyeo na Madaraka Ni vya kupita na vyote hutoka kwa Mwenyezi Mungu muumba wa Mbingu Na Dunia.

Rais Samia Hataki kutumikiwa yeye Kama yeye Bali anataka kila mmoja wetu alitumikie na kulipigania Taifa letu.Anataka watanzania Tuendelee kulipenda Taifa letu.Rais Samia Ni Mzalendo wa dhati mwenye moyo wa upendo kwa Taifa letu tunayepaswa kumuunga mkono kwa nguvu zetu zote

Watanzania Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kwa kuwa Ameendelea kuonyesha namna anavyoipenda Tanzania na watanzania. Ndio sababu ya kuona akihangaika huku na kule katika juhudi za kulijenga Taifa letu.

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Well said Rais Samia Suluhu amewapa kipaumbele wananchi wa hali ya chini sasa anaendelea kutekeleza miradi inayowalenga direct watanzania
 
Pumzika kaka.
Ndugu zangu Rais Samia Ameendelea Kudhihirisha kwanini anapendwaa na kukubalika na watanzania,Amethibitisha sababu za mamilioni ya watanzania Kuendelea kumwamini na kumuunga mkono katika juhudi zake za kulijenga Taifa,Amethibitisha sababu za Tanzania Kuendelea kuwa yenye Amani,utulivu , mshikamano na upendo miongoni mwa watanzania.

Rais Samia Amethibitisha uzalendo na upendo wake kwa Taifa hili, Ameonyesha namna Taifa Hili lilivyokaa katika kifua chake, ameonyesha namna anavyoipenda Tanzania,Ameonyesha kuwa yupo madarakani kwa ajili ya Tanzania na watanzania,Ametoa Funzo kwa watu,kwa viongozi na kwa watanzania wenye ndoto ya kuwa viongozi kuwa uongozi Ni utumishi kwa watu na siyo mahali pa kuhitaji kuabudiwa na kusujudiwa,Ameonyesha kwa matendo na kauli kuwa Mwenyezi Mungu alimuinua na kumweka hapo ili kuwatumikia watu na siyo kutumikiwa na watu. Ameonyesha yupo hapo Alipo na anatenda yote atendayo kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rais Samia Ameendelea kuonyesha unyenyekevu wake,usikivu wake Na ucha Mungu wake. Anaendelea kuwafundisha watu kuwa hata ukiwa kiongozi wa ngazi ya juu bado wewe Ni mwanadamu unayepaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye hofu ya Mungu huku ukijuwa kuwa vyeo na Madaraka Ni vya kupita na vyote hutoka kwa Mwenyezi Mungu muumba wa Mbingu Na Dunia.

Rais Samia Hataki kutumikiwa yeye Kama yeye Bali anataka kila mmoja wetu alitumikie na kulipigania Taifa letu.Anataka watanzania Tuendelee kulipenda Taifa letu.Rais Samia Ni Mzalendo wa dhati mwenye moyo wa upendo kwa Taifa letu tunayepaswa kumuunga mkono kwa nguvu zetu zote

Watanzania Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kwa kuwa Ameendelea kuonyesha namna anavyoipenda Tanzania na watanzania. Ndio sababu ya kuona akihangaika huku na kule katika juhudi za kulijenga Taifa letu.

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
 
Hivi hizi namba za simu zinazowekwa na hawa chawa humu ni active au ni wale wazee wa tuma PESA kwenye namba hii..

Isije ikawa wamehamia kwenye uchawa wanapiga utapeli..
 
Ndugu zangu Rais Samia Ameendelea Kudhihirisha kwanini anapendwaa na kukubalika na watanzania,Amethibitisha sababu za mamilioni ya watanzania Kuendelea kumwamini na kumuunga mkono katika juhudi zake za kulijenga Taifa,Amethibitisha sababu za Tanzania Kuendelea kuwa yenye Amani,utulivu , mshikamano na upendo miongoni mwa watanzania.

Rais Samia Amethibitisha uzalendo na upendo wake kwa Taifa hili, Ameonyesha namna Taifa Hili lilivyokaa katika kifua chake, ameonyesha namna anavyoipenda Tanzania,Ameonyesha kuwa yupo madarakani kwa ajili ya Tanzania na watanzania,Ametoa Funzo kwa watu,kwa viongozi na kwa watanzania wenye ndoto ya kuwa viongozi kuwa uongozi Ni utumishi kwa watu na siyo mahali pa kuhitaji kuabudiwa na kusujudiwa,Ameonyesha kwa matendo na kauli kuwa Mwenyezi Mungu alimuinua na kumweka hapo ili kuwatumikia watu na siyo kutumikiwa na watu. Ameonyesha yupo hapo Alipo na anatenda yote atendayo kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rais Samia Ameendelea kuonyesha unyenyekevu wake,usikivu wake Na ucha Mungu wake. Anaendelea kuwafundisha watu kuwa hata ukiwa kiongozi wa ngazi ya juu bado wewe Ni mwanadamu unayepaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye hofu ya Mungu huku ukijuwa kuwa vyeo na Madaraka Ni vya kupita na vyote hutoka kwa Mwenyezi Mungu muumba wa Mbingu Na Dunia.

Rais Samia Hataki kutumikiwa yeye Kama yeye Bali anataka kila mmoja wetu alitumikie na kulipigania Taifa letu.Anataka watanzania Tuendelee kulipenda Taifa letu.Rais Samia Ni Mzalendo wa dhati mwenye moyo wa upendo kwa Taifa letu tunayepaswa kumuunga mkono kwa nguvu zetu zote

Watanzania Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kwa kuwa Ameendelea kuonyesha namna anavyoipenda Tanzania na watanzania. Ndio sababu ya kuona akihangaika huku na kule katika juhudi za kulijenga Taifa letu.

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627

Unajichoresha Sana.
 
Mwambie walamba asali wanaupiga mwingi ,wamejenga bonge la daraja kama la Queens kwa Bilioni Saba na Milioni mia mbili juu.
 
IMG_20221101_154222.jpg
 
Nitaendelea kumpongeza Rais Samia na serikali Yake kwa kazi kubwa anayoendelea kuifanya katika kututumikia watanzania. Wala siyo jinai maana nilimpigia kura na hivyo Sina budi kumpongeza na kumsifia pale anapofanya vizuri kwa kile alichoahidi kupitia ilani ya CCM
Hataki siasa.
 
Back
Top Bottom