Rais Samia atetemesha, apongezwa kila kona kwa uzalendo wake wa kutanguliza mbele taifa

Rais Samia atetemesha, apongezwa kila kona kwa uzalendo wake wa kutanguliza mbele taifa

Naandika kwa hiyari na siyo kutafuta chochote Bali Nasukumwa na uzalendo na kuridhishwa na utendaji kazi wa mh Rais
Lakini hizo sifa unazompa hazimsaidii kitu ndio maana hataki bora umpe mkeo hizo sifa maana kuna kitu unakipata ila kwa Mh. Samia atakupa nini sasa.
 
Ssa mbona kina ya Boma yangu sijasikia sauti watu wakimpongeza huenda kwenye kona ya Boma yako chawa mkubwa wwe
 
Ndugu zangu Rais Samia Ameendelea Kudhihirisha kwanini anapendwaa na kukubalika na watanzania,Amethibitisha sababu za mamilioni ya watanzania Kuendelea kumwamini na kumuunga mkono katika juhudi zake za kulijenga Taifa,Amethibitisha sababu za Tanzania Kuendelea kuwa yenye Amani,utulivu , mshikamano na upendo miongoni mwa watanzania.

Rais Samia Amethibitisha uzalendo na upendo wake kwa Taifa hili, Ameonyesha namna Taifa Hili lilivyokaa katika kifua chake, ameonyesha namna anavyoipenda Tanzania,Ameonyesha kuwa yupo madarakani kwa ajili ya Tanzania na watanzania,Ametoa Funzo kwa watu,kwa viongozi na kwa watanzania wenye ndoto ya kuwa viongozi kuwa uongozi Ni utumishi kwa watu na siyo mahali pa kuhitaji kuabudiwa na kusujudiwa,Ameonyesha kwa matendo na kauli kuwa Mwenyezi Mungu alimuinua na kumweka hapo ili kuwatumikia watu na siyo kutumikiwa na watu. Ameonyesha yupo hapo Alipo na anatenda yote atendayo kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rais Samia Ameendelea kuonyesha unyenyekevu wake,usikivu wake Na ucha Mungu wake. Anaendelea kuwafundisha watu kuwa hata ukiwa kiongozi wa ngazi ya juu bado wewe Ni mwanadamu unayepaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye hofu ya Mungu huku ukijuwa kuwa vyeo na Madaraka Ni vya kupita na vyote hutoka kwa Mwenyezi Mungu muumba wa Mbingu Na Dunia.

Rais Samia Hataki kutumikiwa yeye Kama yeye Bali anataka kila mmoja wetu alitumikie na kulipigania Taifa letu.Anataka watanzania Tuendelee kulipenda Taifa letu.Rais Samia Ni Mzalendo wa dhati mwenye moyo wa upendo kwa Taifa letu tunayepaswa kumuunga mkono kwa nguvu zetu zote

Watanzania Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kwa kuwa Ameendelea kuonyesha namna anavyoipenda Tanzania na watanzania. Ndio sababu ya kuona akihangaika huku na kule katika juhudi za kulijenga Taifa letu.

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Hata awamu ile kulikua na mapambio zaid ya haya 🤣🤣🤣🤣
 
Ndugu zangu Rais Samia Ameendelea Kudhihirisha kwanini anapendwaa na kukubalika na watanzania,Amethibitisha sababu za mamilioni ya watanzania Kuendelea kumwamini na kumuunga mkono katika juhudi zake za kulijenga Taifa,Amethibitisha sababu za Tanzania Kuendelea kuwa yenye Amani,utulivu , mshikamano na upendo miongoni mwa watanzania.

Rais Samia Amethibitisha uzalendo na upendo wake kwa Taifa hili, Ameonyesha namna Taifa Hili lilivyokaa katika kifua chake, ameonyesha namna anavyoipenda Tanzania,Ameonyesha kuwa yupo madarakani kwa ajili ya Tanzania na watanzania,Ametoa Funzo kwa watu,kwa viongozi na kwa watanzania wenye ndoto ya kuwa viongozi kuwa uongozi Ni utumishi kwa watu na siyo mahali pa kuhitaji kuabudiwa na kusujudiwa,Ameonyesha kwa matendo na kauli kuwa Mwenyezi Mungu alimuinua na kumweka hapo ili kuwatumikia watu na siyo kutumikiwa na watu. Ameonyesha yupo hapo Alipo na anatenda yote atendayo kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Rais Samia Ameendelea kuonyesha unyenyekevu wake,usikivu wake Na ucha Mungu wake. Anaendelea kuwafundisha watu kuwa hata ukiwa kiongozi wa ngazi ya juu bado wewe Ni mwanadamu unayepaswa kuwa mnyenyekevu na mwenye hofu ya Mungu huku ukijuwa kuwa vyeo na Madaraka Ni vya kupita na vyote hutoka kwa Mwenyezi Mungu muumba wa Mbingu Na Dunia.

Rais Samia Hataki kutumikiwa yeye Kama yeye Bali anataka kila mmoja wetu alitumikie na kulipigania Taifa letu.Anataka watanzania Tuendelee kulipenda Taifa letu.Rais Samia Ni Mzalendo wa dhati mwenye moyo wa upendo kwa Taifa letu tunayepaswa kumuunga mkono kwa nguvu zetu zote

Watanzania Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kwa kuwa Ameendelea kuonyesha namna anavyoipenda Tanzania na watanzania. Ndio sababu ya kuona akihangaika huku na kule katika juhudi za kulijenga Taifa letu.

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
UVCCM muongezeeni huyu jamaa mshahara.
 
Hata awamu ile kulikua na mapambio zaid ya haya 🤣🤣🤣🤣
Kazi ya mh Rais inaonekana machoni pa kila mtanzania na imemgusa kila mtanzania.Ndio sababu ya kupata uungwaji mkono kila Kona ya nchi yetu na hata nje ya Tanzania Rais wetu anakubalika Sana ndio sababu ya kuona mafuriko ya wawekezaji na watalii wakimiminika nchini baada ya kushawishiwa na mh Rais
 
Back
Top Bottom