Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya wapya 37, awahamisha 48, waliobaki kwenye vituo vyao ni 55

Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya wapya 37, awahamisha 48, waliobaki kwenye vituo vyao ni 55

Nadhani anaangalia sifa ya mtu na si Dini,pia nadhani wakristo wasomi ni wengi kuliko Muslims kutoka na historia ya Elimu dunia
 
Rais Samia Suluhu alisema atakuja na mkeka wake mpya lengo ikiwa ni kuhakikisha anapata wasaidizi ambao watatufikisha katika maendeleo
 
Kumekuwa na malalamiko kuwa Rais akiwa Mkristo basi teuzi zake zinaegemea kwa Wakristo, na akiwa Muislam basi teuzi zake zinaegemea kwa Waislamu

Samia kafanya teuzi za wakuu wapya wa Wilaya 37 leo ambayo majina karibu yote ni ya Wakristo, actually majina 6 tu ndio ya Kiislamu

Je Samia kuteua Wakristo karibia wote ni kuwa anaogopa kuitwa Mdini au ndivyo ilivyo?
View attachment 2495409

View attachment 2495407
Wewe ndio mdini sio yy
 
Umeleta uzi mzuri tusome na kutathmini wateuliwa, halafu ukaamua kuuharibu kwa kuingiza udini, achana na hii mambo za dini mkuu.
 
Kama mlivyoona mkeka wa Samia,kuna Hamidu Shaka muunguja huyu kawa mkuu wa wilaya Kilosa,kuna Jafar pia muunguja kawa mkuu wa wilaya huku Bara.

Hivi Samia kweli kati ya wabara million 60+ umekosa kabisa watu wa kuwa wakuu wa wilaya hadi uchukue kutoka Zanzibar?

Ninajiuliza tu hivi mbara anaweza kuwa mkuu wa wilaya/ Mkoa Zanzibar.

Kwa kweli hii hapana.
 
Kama mlivyoona mkeka wa Samia,kuna Hamidu Shaka muunguja huyu kawa mkuu wa wilaya Kilosa,kuna Jafar pia muunguja kawa mkuu wa wilaya huku Bara...
Simple, tumnyime kura 2025! As simple as that! lakini je kabla ya kwenda hukko, sheria si inamruhusu....haya mambo ya muungano yanamruhusu? kama yanamruhusu basi acha ikae hivyo. "Mungu" wa tanzania by Lisu!
 
Back
Top Bottom