Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Nadhani anaangalia sifa ya mtu na si Dini,pia nadhani wakristo wasomi ni wengi kuliko Muslims kutoka na historia ya Elimu dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio mdini sio yyKumekuwa na malalamiko kuwa Rais akiwa Mkristo basi teuzi zake zinaegemea kwa Wakristo, na akiwa Muislam basi teuzi zake zinaegemea kwa Waislamu
Samia kafanya teuzi za wakuu wapya wa Wilaya 37 leo ambayo majina karibu yote ni ya Wakristo, actually majina 6 tu ndio ya Kiislamu
Je Samia kuteua Wakristo karibia wote ni kuwa anaogopa kuitwa Mdini au ndivyo ilivyo?
View attachment 2495409
View attachment 2495407
Ndio yeye mkewe ndio huyo mkuu wa wilayaHuyu Dr Nyangasa ndie yule wa Jk heart institute au ni mkewe?
Na Sufiani matravolta kasahaulika piaLucas mwashambwa vipi hajaonekana?
Simple, tumnyime kura 2025! As simple as that! lakini je kabla ya kwenda hukko, sheria si inamruhusu....haya mambo ya muungano yanamruhusu? kama yanamruhusu basi acha ikae hivyo. "Mungu" wa tanzania by Lisu!Kama mlivyoona mkeka wa Samia,kuna Hamidu Shaka muunguja huyu kawa mkuu wa wilaya Kilosa,kuna Jafar pia muunguja kawa mkuu wa wilaya huku Bara...
Swala gumu hiloPascal Mayalla amepata au bado?
Akina Mwashambwa wanaachwa anawekwa akili kubwa Beno MalisaBen Malisa,Mkuu wa Mbeya ni yupi? Huyu mwanaharakati(wa Chadema nadhani)?
Amebakishwa katika wilaya aliyokuwepo awali ya SerengetiVP mashinji yupo?
Usikate tamaa Lucas..endeleza mapambio bila kuchoka.Amebakishwa katika wilaya aliyokuwepo awali ya Serengeti
Hawana kitu ,kila kitu bure nyumba hadi usafiri,hela ya likizo,bima bure, hela za vikao,pia status inamsaidia popote pale kufanikisha mambo yake.RC 5mln,bila rushwa na kutisha watu hawana kitu hao