Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,870
- 10,066
Elimu...Jaffar haniu atakuwa ni bonge ya Kilaza,kutoka kuwa mkurugenzi wa Ikulu mawasiliano, kuwa ikulu tena sijui nani,hadi kuwa mkuu wa wilaya.Sema Uunguja unambeba sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu...Jaffar haniu atakuwa ni bonge ya Kilaza,kutoka kuwa mkurugenzi wa Ikulu mawasiliano, kuwa ikulu tena sijui nani,hadi kuwa mkuu wa wilaya.Sema Uunguja unambeba sana.
DED wa Kigamboni??Yaani huyo Sara Msafiri kweli itabidi aombe watu msamaha kwa sababu alikuwa hana adabu na wala staha alikuwa anafanya ushenzi bila kuwa na aibu na alikuwa na yule Makonda kudhulumu watu Kigamboni
Kama mlivyoona mkeka wa Samia,kuna Hamidu Shaka muunguja huyu kawa mkuu wa wilaya Kilosa,kuna Jafar pia muunguja kawa mkuu wa wilaya huku Bara.
Hivi Samia kweli kati ya wabara million 60+ umekosa kabisa watu wa kuwa wakuu wa wilaya hadi uchukue kutoka Zanzibar?
Ninajiuliza tu hivi mbara anaweza kuwa mkuu wa wilaya/ Mkoa Zanzibar.
Kwa kweli hii hapana.
Alidhulumu mali za watuAlifanyaje??
Kati ya vitu huwa siangalii kwenye ukuu wa wilaya ni dini. Maana ni wengi mno ni ngumu kujua yupi ni dini ipi.Kidogo mawaziri,wakuu wa mikoa ni rahisi kujua.Wapo wachache...idadi ya Waislamu ktk hizo nafasi hairidhishi kabisa.
Tajiri naomba ikiwezekana nipate appointment na wewe nimekutafuta Dm bila mafanikioMA- DED wakae mguu sawa