Rais Samia ateua Wakuu wa Wilaya wapya 37, awahamisha 48, waliobaki kwenye vituo vyao ni 55

Jaffar haniu atakuwa ni bonge ya Kilaza,kutoka kuwa mkurugenzi wa Ikulu mawasiliano, kuwa ikulu tena sijui nani,hadi kuwa mkuu wa wilaya.Sema Uunguja unambeba sana.
Elimu...
 
DED wa Kigamboni??Yaani huyo Sara Msafiri kweli itabidi aombe watu msamaha kwa sababu alikuwa hana adabu na wala staha alikuwa anafanya ushenzi bila kuwa na aibu na alikuwa na yule Makonda kudhulumu watu Kigamboni

Alifanyaje??
 

..idadi ya Waislamu ktk hizo nafasi hairidhishi kabisa.
 
..idadi ya Waislamu ktk hizo nafasi hairidhishi kabisa.
Kati ya vitu huwa siangalii kwenye ukuu wa wilaya ni dini. Maana ni wengi mno ni ngumu kujua yupi ni dini ipi.Kidogo mawaziri,wakuu wa mikoa ni rahisi kujua.Wapo wachache.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…