sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,474
- 6,195
Pascal Mayalla huyu anateuliwa kuwa RC Ruvuma au DED MusomaPascal Mayalla amepata au bado?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pascal Mayalla huyu anateuliwa kuwa RC Ruvuma au DED MusomaPascal Mayalla amepata au bado?
DED haipendezi watoke nje ya mfumoPascal Mayalla huyu anateuliwa kuwa RC Ruvuma au DED Musoma
Nick mwanangu amesogezwa mjini KIBAHA sasaHao wapya namba nane hapo Grace Kingalame si mwandishi wa habari huyo? Au wanafanania majina.
Juma Issa Chikoka kabaki, ni yule mchekeshaji wa zamani na huwa naamini anafanya kazi vizuri.
Wake wa vigogo naona wanabaki na hawapelekwi mbalimbali uko Tandahimba.
Na yule Nick wa Weusi jina lake nani sijui, vipi tena
Mfanyakazi gani mwenye uzoefu wa ukuu wa wilaya? Ile ni nafasi ya kisiasa sio utaalamuJe ni makada wa UVCCM au vipi wameteua wafanyakazi wenye uzoefu wa nafasi hizo kwa kufuatana na wasifu wao ?
Si hua wanakipinga hiki cheo cha kikoloni, akikataa kwenda kuapishwa nimekaa pale ufipaBeno Malisa!!! Upo hapo Erythrocyte
20. Beno Morris Malisa – Ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya
Ila kwa msimu huu DED wengi ni waajiriwa wa serikaliDED haipendezi watoke nje ya mfumo
Wameliwa vichwa?Jerry Muro na Siriel Mchembe siwaoni.
Vipi,uliachana na mambo ya Chama halafu walioendelea umewaona mkekani?Jamani Jane... Mungu angekuwa anatupa macho ya kuona ya mbeleni, nisingechezea fursa 😎😎😎.
CCM ya sasa hawajali hilo, maDED wengi wametoka UVCCMDED haipendezi watoke nje ya mfumo
Kamwe hawezi kupewa!Pascal Mayalla amepata au bado?
Kapokonywa mnofu..Toka katibu wa itikadi taifa hadi DC? Ujue huyo ni bongo lala
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hebu kuwa serious?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pascal Mayalla huyu anateuliwa kuwa RC Ruvuma au DED Musoma