ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
K
Mwisho wake huwa ni kudhalilishwa tu !
Lakini Mungu alishawaona na ameshawafikia I hope so !
Majuto ni mjukuu Tunasemaga Wasukuma. 😱
abisa kabisa ma-genius hawatakiwi Nchi hii !True say hili Taifa lina vichwa shida ni moja mfumo haupendi vichwa ila ndio mzee ref to Prof Assad no comment ni genius ila check kilicho mkuta siasa ina nguvu kuliko wasomi
Mwisho wake huwa ni kudhalilishwa tu !
Lakini Mungu alishawaona na ameshawafikia I hope so !
Majuto ni mjukuu Tunasemaga Wasukuma. 😱