Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Acha unafikiTukio hili linanirejesha kwa kilichomtokea Tundu Lissu.
Nani aliondoa ulinzi area D? Walinzi wangekuwepo bila shaka wangepambana na magaidi waliomshambulia Lissu.
Kwahiyo daraja kuandikwa Salenda limebadilisha tukio au wewe umeona tu Salenda?Huyo Mama hajui kuwa lile daraja haliitwi Salenda bali ni Selander
Karekodi Mwanaume wa Kanda ya ziwa.Binafsi najiuliza ujasiri na zaidi utulivu wa hao raia waliorekodi hili tukio.
Kwa hiyo litamkwe kizungu?Huyo Mama hajui kuwa lile daraja haliitwi Salenda bali ni Selander
Sio kwamba aliyerekodi ni mzaramo?Karekodi Mwanaume wa Kanda ya ziwa.
Nyie wadasalama mlikua mmejificha.
Kuna wanaume..na kuna wanaume wa Kanda ya ziwa ambao maisha ya risasi. Mabomu, walishayazoea.
Asee Tz tujiangalie sio wa msumbiji hawa kweli!?
Acha unafiki