Rais Samia atoa pole kufuatia mauaji Daraja la Salender, ataka uchunguzi ufanyike

Rais Samia atoa pole kufuatia mauaji Daraja la Salender, ataka uchunguzi ufanyike

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Salamu zake ni hizi:

Natoa pole kwa Jeshi la Polisi na familia za Askari 3, na Askari 1 wa kampuni ya ulinzi ya SGA waliopoteza maisha baada ya mtu aliyekuwa na silaha kuwashambulia katika eneo la Salenda, Dar es Salaam.

Mtu huyo amedhibitiwa na hali ni shwari. Nawaagiza Polisi kuchunguza kwa kina.


Samia Pole 1.jpg


PIA, SOMA:
- Kinondoni, Dar: Mtu asiyejulikana, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi
 
Poleni wafiwa. Naamini askari wetu hasa wenye silaha wamepata funzo kuwa makini wanapokuwa lindoni au doria kuwa silaha zao ni moja ya nyara inayohitajiwa na wahalifu.
 
Eti huko nimekutana na kadi ya Huyo Gaidi kua ni mwamachama wa CHADEMA sijui ni real au edit
 
Rais Samia una kazi sana Mama yangu. Serikali yako inapitia mambo mengi kwa kipindi kifupi.
 
Back
Top Bottom