Rais Samia atoa TZS 300BL kukamilisha majengo ya Serikali Jijini Dodoma

Rais Samia atoa TZS 300BL kukamilisha majengo ya Serikali Jijini Dodoma

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya TZS 300BL kwaajili ya kukamilisha safari ya Serikali kuhamia Jijini Dodoma,

Waziri mkuu wa Tanzania Majaliwa Khasim Majaliwa amesema jumla ya magorofa 20 yatajengwa na Serikali na mengine 4 yatajengwa na Sekta binafsi.

Akizundua awamu ya Pili ya Ujenzi wa nyumba za Serikali Waziri Mkuu ameoneshwa kuridhishwa na namna Ujenzi unavyoendelea.

Mpaka Sasa Serikali imetumia jumla ya TZS 168BL na imetoa ajira 1,588.


Source : UTV Habari
Yaani hizi taarifa zina ukakasi mnoo. Kwani hela za maendeleo hutolewa na rais au huidhinishwa na bunge?? Mna tuletea mambo ya mwenda kuzimu hapa??
 
Ni kukosa akili au uelewa mdogo kusema kuwa Rais ametoa hela.

Ukisikia tu kiongozi anasema Rais ametoa hela, huyo mtu:

1) Huenda ana akili ndogo kiasi cha kutotambua kuwa Rais hana hela ya kuendesha Serikali wala ya kutekeleza miradi ya umma.

2) Huenda huyo mtu hana weledi, na kwa sababu hana kitu chochote kichwani wala kiutendaji cha Mh. Rais kuendelea kumwamini, anaamua kuwa mnafiki na kuamua kumvika Rais mamlaka na uwezo ambao hana.

Kama viongpzi wetu wangekuwa na hekima, pale wanaposikia sifa za kijinga au wanapoona watu wanawavika mamlaka au utukufu ambao, kama Rais, hawezi kuwa nao, walistahili kuwafukuza kazi watu hao mara moja.
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
Ni kukosa akili au uelewa mdogo kusema kuwa Rais ametoa hela.

Ukisikia tu kiongozi anasema Rais ametoa hela, huyo mtu:

1) Huenda ana akili ndogo kiasi cha kutotambua kuwa Rais hana hela ya kuendesha Serikali wala ya kutekeleza miradi ya umma.

2) Huenda huyo mtu hana weledi, na kwa sababu hana kitu chochote kichwani wala kiutendaji cha Mh. Rais kuendelea kumwamini, anaamua kuwa mnafiki na kuamua kumvika Rais mamlaka na uwezo ambao hana.

Kama viongpzi wetu wangekuwa na hekima, pale wanaposikia sifa za kijinga au wanapoona watu wanawavika mamlaka au utukufu ambao, kama Rais, hawezi kuwa nao, walistahili kuwafukuza kazi watu hao mara moja.
Rais ni taasisi
 
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya TZS 300BL kwaajili ya kukamilisha safari ya Serikali kuhamia Jijini Dodoma,

Waziri mkuu wa Tanzania Majaliwa Khasim Majaliwa amesema jumla ya magorofa 20 yatajengwa na Serikali na mengine 4 yatajengwa na Sekta binafsi.

Akizundua awamu ya Pili ya Ujenzi wa nyumba za Serikali Waziri Mkuu ameoneshwa kuridhishwa na namna Ujenzi unavyoendelea.

Mpaka Sasa Serikali imetumia jumla ya TZS 168BL na imetoa ajira 1,588.


Source : UTV Habari
safi sana, wacha jiji la Dodoma lijengwe.
 
Acha tuhamie DODOMA naona Ajira zimeshamiri sasa
 
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya TZS 300BL kwaajili ya kukamilisha safari ya Serikali kuhamia Jijini Dodoma,

Waziri mkuu wa Tanzania Majaliwa Khasim Majaliwa amesema jumla ya magorofa 20 yatajengwa na Serikali na mengine 4 yatajengwa na Sekta binafsi.

Akizundua awamu ya Pili ya Ujenzi wa nyumba za Serikali Waziri Mkuu ameoneshwa kuridhishwa na namna Ujenzi unavyoendelea.

Mpaka Sasa Serikali imetumia jumla ya TZS 168BL na imetoa ajira 1,588.


Source : UTV Habari
Sipendi kabisa lugha hii ya "Rais Samia ametoa pesa" Pesa inatolewa na serikali na si Rais.
 
Haya Mambo kwa kikwete mkapa mwinyi na nyerere hayapo.cjui kwann hizi awamu wameanzisha eti hela ya Samia hela ya magu.hela ni ya serikali.
 
Sipendi kabisa lugha hii ya "Rais Samia ametoa pesa" Pesa inatolewa na serikali na si Rais.
Lugha hii ya Rais ametoa, mara nyingi hutumiwa na watu wanafiki kwaajili ya kuwapumbaza wajinga, na kumlewesha Rais kwa maneno ya hila.
 
Back
Top Bottom