Ze Bulldozer
JF-Expert Member
- Jun 12, 2020
- 1,070
- 568
Kama ni pesa tu Mama anatoa kwelikweli,Rais Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya TZS 300BL kwaajili ya kukamilisha safari ya Serikali kuhamia Jijini Dodoma,
Waziri mkuu wa Tanzania Majaliwa Khasim Majaliwa amesema jumla ya magorofa 20 yatajengwa na Serikali na mengine 4 yatajengwa na Sekta binafsi.
Akizundua awamu ya Pili ya Ujenzi wa nyumba za Serikali Waziri Mkuu ameoneshwa kuridhishwa na namna Ujenzi unavyoendelea.
Mpaka Sasa Serikali imetumia jumla ya TZS 168BL na imetoa ajira 1,588.
Source : UTV Habari
Serikali ni ya Tanzania na fedha zinazotolewa na serikali ni kwa niaba ya wananchi bwana acha ujinga, rais hatoi fedha na hata zinazokopwa zinakopwa na serikali na zinalipwa na serikali vile vile.Serikali ya nani? Who is leading it
Nilidhani hujui ni makosa kumilikisha fedha za wananchi kwa mtu mmoja na mbaya zaidi unasahau utendaji wa wasaidizi wake wote na kumpa mtu mmoja , kumbe umefanya makusudi kupotoshaUnaumia nini?
Kazi iendeleeRais Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya TZS 300BL kwaajili ya kukamilisha safari ya Serikali kuhamia Jijini Dodoma,
Waziri mkuu wa Tanzania Majaliwa Khasim Majaliwa amesema jumla ya magorofa 20 yatajengwa na Serikali na mengine 4 yatajengwa na Sekta binafsi.
Akizundua awamu ya Pili ya Ujenzi wa nyumba za Serikali Waziri Mkuu ameoneshwa kuridhishwa na namna Ujenzi unavyoendelea.
Mpaka Sasa Serikali imetumia jumla ya TZS 168BL na imetoa ajira 1,588.
Source : UTV Habari
CHADOMO mnahangaika kwelikweli,Nilidhani hujui ni makosa kumilikisha fedha za wananchi kwa mtu mmoja na mbaya zaidi unasahau utendaji wa wasaidizi wake wote na kumpa mtu mmoja , kumbe umefanya makusudi kupotosha
watu wa aina yenu si watu wazuri mnaua morali ya wananchi na watendaji wa serikali
Mnaondoa team work
Mnapunguza uzalendo wa kila mtu kwenye nafasi yake
Rais ni mwakilishi wetu na tunamlipa kwa kodi zetu
Anastahili kuheshimiwa sio kupewa utukufu
Ndo maana watu wengine wanawaji bika kwa ajili rais badala ya taifa lao na nchi, wanasahau rais anapita bali nchi na taifa linadumu
Mnapata faida gani kuharibu morali ya taifa na umoja wa kitaifa
Historia ya nchi itawahukumu kama wengine wanavyopata hukumu zao kwa kumtegemea mwanadamu,
Pole kwa kufunga fikra zako kwenye uchamaCHADOMO mnahangaika kwelikweli,
Tufanye kaziPole kwa kufunga fikra zako kwenye uchama