Rais Samia Atoa Ujumbe wa Eid Al Adh'haa, Awakumbuka Wenye Uhitaji

Rais Samia Atoa Ujumbe wa Eid Al Adh'haa, Awakumbuka Wenye Uhitaji

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za heri ya sikukuu ya Eid el Adh’haa kwa dua maalum akiwataka Watanzania kusherehekea kwa amani, umoja na upendo.

Ametuma salamu hizo leo Alhamisi Juni 29, 2023 kupitia kurasa za mitandao yake ya kijamii huku akiwahimiza Waislamu kutumia siku hii kuwakumbuka wale wote wenye uhitaji zaidi.

“Nawatakia nyote kheri ya Sikukuu ya Eid el Adh’haa. Tusheherekee siku hii njema kwa amani, umoja na upendo, tukiwakumbuka wale wote wenye uhitaji zaidi.

“Tutumie siku hii pia kuendelea kumuomba Mwenyezi Mungu azipokee ibada zetu, atusamehe makosa yetu, atuongoze katika mema, kweli na haki, tuendelee kuwa wamoja na atuepushe na yote yenye nia ya kutugawa. Eid el Adh’haa Mubarak,” ameandika Rais Samia.

Hajawakumbuka wenye uhitaji wa kujua mustakabal wa mkataba wa bandari zetu.
 
Mwenye mawasiliano yake jamani huyu mama.Please
 
Sasa hili nalo ni habari.hata mwenye kiti wetu wa mtaa kafanya. Yy anatakiwa kufanya mambo makubwa kama ya Bandari. Maamuzi
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za heri ya sikukuu ya Eid el Adh’haa kwa dua maalum akiwataka Watanzania kusherehekea kwa amani, umoja na upendo.

Ametuma salamu hizo leo Alhamisi Juni 29, 2023 kupitia kurasa za mitandao yake ya kijamii huku akiwahimiza Waislamu kutumia siku hii kuwakumbuka wale wote wenye uhitaji zaidi.

“Nawatakia nyote kheri ya Sikukuu ya Eid el Adh’haa. Tusheherekee siku hii njema kwa amani, umoja na upendo, tukiwakumbuka wale wote wenye uhitaji zaidi.

“Tutumie siku hii pia kuendelea kumuomba Mwenyezi Mungu azipokee ibada zetu, atusamehe makosa yetu, atuongoze katika mema, kweli na haki, tuendelee kuwa wamoja na atuepushe na yote yenye nia ya kutugawa. Eid el Adh’haa Mubarak,” ameandika Rais Samia.

Bandari , Bandari kwanza
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za heri ya sikukuu ya Eid el Adh’haa kwa dua maalum akiwataka Watanzania kusherehekea kwa amani, umoja na upendo.

Ametuma salamu hizo leo Alhamisi Juni 29, 2023 kupitia kurasa za mitandao yake ya kijamii huku akiwahimiza Waislamu kutumia siku hii kuwakumbuka wale wote wenye uhitaji zaidi.

“Nawatakia nyote kheri ya Sikukuu ya Eid el Adh’haa. Tusheherekee siku hii njema kwa amani, umoja na upendo, tukiwakumbuka wale wote wenye uhitaji zaidi.

“Tutumie siku hii pia kuendelea kumuomba Mwenyezi Mungu azipokee ibada zetu, atusamehe makosa yetu, atuongoze katika mema, kweli na haki, tuendelee kuwa wamoja na atuepushe na yote yenye nia ya kutugawa. Eid el Adh’haa Mubarak,” ameandika Rais Samia.


Mwambie bandari za Tanganyika haziuzwi kwa waarabu.
 
Stop nonsense, tunataka Tanganyika yetu na bandari zetu

Tanganyika Ichukue,kwani Kuna mtu kakukataza kuichukua??

Bandari sahau,maana mmeshazoea wizi pale bandarin sasa mwisho wenu umeshafika wezi wakubwa.
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za heri ya sikukuu ya Eid el Adh’haa kwa dua maalum akiwataka Watanzania kusherehekea kwa amani, umoja na upendo.

Ametuma salamu hizo leo Alhamisi Juni 29, 2023 kupitia kurasa za mitandao yake ya kijamii huku akiwahimiza Waislamu kutumia siku hii kuwakumbuka wale wote wenye uhitaji zaidi.

“Nawatakia nyote kheri ya Sikukuu ya Eid el Adh’haa. Tusheherekee siku hii njema kwa amani, umoja na upendo, tukiwakumbuka wale wote wenye uhitaji zaidi.

“Tutumie siku hii pia kuendelea kumuomba Mwenyezi Mungu azipokee ibada zetu, atusamehe makosa yetu, atuongoze katika mema, kweli na haki, tuendelee kuwa wamoja na atuepushe na yote yenye nia ya kutugawa. Eid el Adh’haa Mubarak,” ameandika Rais Samia.

Eid Mubarak
 
Historia, historia, historia

Unakumbuka mzee mgosi alisema nini?
Jamaa bado wapo sana, kuna ambae anafukuzia mia, mwingine huko sabini na kitu, huyu ndio kwanzaaaa sitini
Mtasubiri sana

Even though kifo anapanga Mungu,sisi waislam hatukufikia hatua ya kuomba Magufuli afe,ila Kwa hawa jamaa zetu nongwa imewajaa utadhani yule mtu kauwawa na waislam ili Samia awe president,

Shida Yao wagalatia wengi wanatukuza sana maisha ya Dunia,sisi kwetu Dunia ni kitu Cha kupita,na siku tulizokadiriwa kukaa hapa zikifika bila shaka tutaondoka
 
Mungu amtendee kama Magufuli,

Mungu kumchukua Magufuli ilikua ni ahadi, Magufuli aliandikiwa aishi miaka aliyoish na afe miaka aliyokufa nayo,

Ewe mgalatia usie na akili,nan kakuongopea kuwa dunian tunakaa milele??ni PENGO au??

Samia hata ukimuombea kifo,hatakufa Kwa maombi yako wewe kafi.ri,,atakufa Kwa qadar ya Allah.

Punguzeni chuki waimba kwaya.
 
Back
Top Bottom