Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #81
Fanya kazi ndio ule raha. Rais wetu ni mchapakazi waki na yupo kwa ajili ya kuwatumikia watanzania na siyo kula rahaHuyu mama angefanya wananchi wale raha kama anazokula yeye hakuna shida kabisa aisee
Wewe kufa tu jamaa na hakuna atakaye sikitikaTutakunywa na Maza ako
Wewe kufa tu jamaa na hakuna atakaye sikitikaTutakunywa na Maza ako
Ndege za magufuli walizokua wanazibezaa zinatia hasarq taifaNdege ni yetu na ndio maana Rais wetu anaitumia na ataendelea kuitumia na tunataka kuona Rais wetu mpendwa akitumia ndege zetu na siyo zile za kukodi kama alivyofanya Rais wa nchi jirani ..ndio raha ya Taifa lenye maoni kuwa na usafiri wa uhakika wa anga kama ilivyo kwetu watanzania
Hata wewe mwisho wako ni kuoza na kunuka tuNdege za magufuli walizokua wanazibezaa zinatia hasarq taifa
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ametua kwa kishindo na salama kabisa Nchini Afrika kusini,ambako amekwenda kwa ajili ya kuhudhuria uapisho wa Rais wa Taifa hilo Mheshimiwa Ramaphosa utakaofanyika siku ya kesho.
Hii ni baada ya kupata ushindi wa kura takribani 283 baada ya kuungana na chama cha DA(Demoratic Alliance)zidi ya mgombea wa kutoka chama cha EFF cha Julius Malema.ikumbukwe ya kuwa safari hiyo ni ya muhimu sana kwa Rais wetu kuhudhuria,hasa kwa kuzingatia historia yetu ya kipekee kabisa na Taifa letu na Afrika kusini.
Ndio maana mnakumbuka mwaka 2013 namna Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete namna alivyoshangiliwa kwa kishindo na wa Afrika kusini wakati wa msiba wa hayati Nelson Mandela wakati akitoa historia yetu na yeye na namna Tanzania ilivyo msaidia Nelson Mandela katika masuala mbalimbali,hadi akawatania kuwa alisahau viatu vyake na alikuwa akitumia paspoti yetu.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
PIA SOMA
- Rais Samia kwenda Afrika Kusini kwenye uapisho wa Ramaphosa
- Rais Samia kwenda Afrika Kusini kwenye uapisho wa Ramaphosa
magufuri hakusafiri tukaona ni ushamba,,hadi CHADEMA wakasema ni mshamba..Sasa mama anatekeleza kile watanzania walitaka kifanyike cha kufyngua nchiSafari hiyo ina tija kubwa sana katika kuendeleza undugu wa kihistoria baina ya Mataifa yetu haya mawili.
Mkuu hata hao ni watanzania, nao wanastahili kula keki ya Taifa, chuki dhidi ya watanganyika wenzetu ya nini.Huyu mama apunguze safari
Unaweza kukuta kaambatana na akina Mwijaku,Steve Nyerere,Baba Levo,Shishi baby...
Ccm ni shida kuu
Ngoja tuoneChonde chonde asikope tu na huko,
Wewe unadhani kila mtu anayecomment humu ndani ana shidaFanya kazi ndio ule raha. Rais wetu ni mchapakazi waki na yupo kwa ajili ya kuwatumikia watanzania na siyo kula raha
π€π€π€Kwanini usinywe tu sumu UFE haraka? Maana wewe ni hasara kwa Taifa letu
Watanzania sote ni ndugu na hata Afrika kusini ni ndugu zetu kihistoria na waafrika wote sisi ni ndugu
Mama kasemwa na kutukanwa!! Naona mbinu yako imefanikiwa na roho yako kwatuu!! Hongera Kwa ubunifu wakoKazi mliyobakia nayo kwa sasa ni kazi ya uzushi na uongo tu. Hiyo Billion moja huwa unatoa na kuidhinisha wewe? Unao huo ushahidi ukiambiwa uweke hapa?
Ndiyo uwezo wake umeishia hapoChonde chonde asikope tu na huko,