peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Nyerere,Mugabe na Mandela walitunukiwa nyingi sana,Je mabeberu walikuwa wanakula Mali zenu?Hizi PhD za mfululilizo zinanipa alarm juu ya rasilimali za Tanzania.
India wametoa PhD majuzi tu wamepewa gati nambari 2.
Sasa sijui JMT au DP ndio waliowapa tenda.
Korea nao wameona mpenyo.
Mabadiliko huwa yanahitaji machozi na damu ,hauwezi kujenga uchumi imara ukiwa umekaa kwenye kiti cha kuzunguka na bia mkononi, lazima ulipe gharama iwe kwa damu na machozi.Alifirisi nchi. Hakuwa na kipaumbele kulingana na bajeti ya nchi. Huwezi kuendesha nchi as if bajeti ya nchi ni sawa na bajeti ya marekani ndo mana vyuma vilikuwa vimekaza kila sehemu na watu wamekufa wengi kwa stress ndo kuvunjika kwa sababu yake
haaaaaaaaa haaaaaaaaa!Kachukua mkopo wa "masharti nafuu"π€£π€£π€£
Hivi mange kimambi anasemaje kuhusu safari za mama na shahada zake?Amkeni jamani mnalala mna pesa? Ni kama vile hawa watu weupe wameshatujuwa weakness zetu basi na wao wanapitia humohumo.
Mama Samia muda huu South Korea anatunukiwa degree nyingine.
Yeah! Anatisha Sana kwenye kukopa.Mama Samia anatisha kwelikweli
Mama anastahili Tuzo,anajenga miradi ya Viwanja vya ndege Jumla 15 across Tanzania na mingine imepangwa kuanza mwaka ujao wa Fedha.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa kutoka Chuo Kikuu cha Anga cha Korea (KAU) leo tarehe 03 Juni, 2024.
View: https://www.youtube.com/watch?v=3MuZRVjIipc===
View attachment 3007278
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Causa) kwenye Sekta ya Anga na Rais wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga (Korean Aerospace University) Hee Young Hurr, Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea.
View attachment 3007279
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Causa) kwenye Sekta ya Anga na Rais wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga (Korean Aerospace University) Hee Young Hurr wa kwanza kulia, Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea
Sio tuu kukopa pia amevunja rekodi ya makusanyo ,Utalii na maelfu ya miradi.Yeah! Anatisha Sana kwenye kukopa.
Mwingi kivp ?Wana intelligensia wa nchi za "watu" wanafanya kazi sana.... Hongera Mama unaupiga mwingi.
π
Okmaridhiano nk
Ifikie sehemu mabalozi wawe competent bana,hiyo inaweza kuwa nafasi adhimu hata ya kuomba scholarship za watanzania hata 50 kwenda kusoma hicho chuo.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa kutoka Chuo Kikuu cha Anga cha Korea (KAU) leo tarehe 03 Juni, 2024.
View: https://www.youtube.com/watch?v=3MuZRVjIipc===
View attachment 3007278
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Causa) kwenye Sekta ya Anga na Rais wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga (Korean Aerospace University) Hee Young Hurr, Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea.
View attachment 3007279
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Causa) kwenye Sekta ya Anga na Rais wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga (Korean Aerospace University) Hee Young Hurr wa kwanza kulia, Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea
Ila kavunja rekodi ya kukopa. Hilo ndilo la msingi, miradi kila Rais ana miradi yake.Sio tuu kukopa pia amevunja rekodi ya makusanyo ,Utalii na maelfu ya miradi.
Kazi Bado inaendelea ππ
View: https://www.instagram.com/p/C7vyf01qq_d/?igsh=cDE5NGU2NGw5bzNh
Nasisitiza kukopa haijawahi kuwa shida,Toka Nyerere Nchi inakopa.Ila kavunja rekodi ya kukopa. Hilo ndilo la msingi, miradi kila Rais ana miradi yake.
Kama hivyo mituzo inatiritika tu. π€£π€£Mwingi kivp ?
Chuo kikuu cha anga!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa kutoka Chuo Kikuu cha Anga cha Korea (KAU) leo tarehe 03 Juni, 2024.
View: https://www.youtube.com/watch?v=3MuZRVjIipc===
View attachment 3007278
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Causa) kwenye Sekta ya Anga na Rais wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga (Korean Aerospace University) Hee Young Hurr, Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea.
View attachment 3007279
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Causa) kwenye Sekta ya Anga na Rais wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga (Korean Aerospace University) Hee Young Hurr wa kwanza kulia, Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea