Rais Samia atuombe msamaha Wakristo, Simba wa Yuda kwetu ni Yesu Kristo peke yake

Rais Samia atuombe msamaha Wakristo, Simba wa Yuda kwetu ni Yesu Kristo peke yake

yeye katoa wapi hiyo kauli ya simba wa yuda kaokota?


Hivi mtu akitaja; Simba sports club utauliza maneno hiyo yamepatikana wapi au utauliza hicho ni kitu gani??
 
Yes... mnyazi mngu wao ni feki
Imani ya kqenda kupewa wanawake wenye macho makubwa akhera...
Juzi nimemaikia Yule shehw mmpendwa misambwanda amesema na huko mito ya pombe itatoa pombe nzuri[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ushaambiwa kikristo Simba wa Yuda humrejelea Yesu unaleta ligi yanini?


Lete ushahidi hapa, wewe ndiye unayetaka kuleta ligi Bila ushahidi.

Ras Tafari (Haile Selassie) yule Emperor wa Ethiopia ndiye anayeitwa Lion of Judah na ushahidi upo, sasa wewe leta ushahidi wa Biblia kwamba Yesu ndiye Lion of Judah na sio kelele hapa.
 
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.

Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.

Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Hakunaga Mkristu anayeendekeza ligi Za kijinga jinga hvi.
 
Imani ya kqenda kupewa wanawake wenye macho makubwa akhera...
Juzi nimemaikia Yule shehw mmpendwa misambwanda amesema na huko mito ya pombe itatoa pombe nzuri[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndo maana humpambania Allah wao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.

Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.

Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Hata Haile Selassie,aliyekuwa Rais wa Ethiopia,akiitwa Simba wa Yuda(Lion of Juda)na mpaka leo anaitwa jina hilo,na alikuwa ni mkristo,mbona hakulipinga jina hilo,wala hakuna aliyepinga,asiitwe hivyo.Na nchi ya Ethiopia ndio ya kikristo ya kwanza,kuliko nchi zote za kiafrika.Na Ethiopia,hawakupelekewa ukristo na Wazungu,wao ni wakristo wa asili,Ukristo wa Orhodox,sio wa kupelekewa,kama nyinyi wa huku Tanzania,wa kuletewa na wazungu.
 
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.

Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.

Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Ni sawa haikuwa sahihi. Lakini wakati wa .....aliposema awe mkuu wa malaika mbona hamkipiga kelele, watu walimwita Yesu, wengine Mungu amshukuru ..... Kimya. Mama hukutenda haki kufanaanisha Simba wa Yuda. Inginekuwa Imani nyingine leo maandamano, lakini Mungu wa amani kawatuliza Wakristo wavumilie maana yanapita kama upepo.
 
Ni sawa haikuwa sahihi. Lakini wakati wa .....aliposema awe mkuu wa malaika mbona hamkipiga kelele, watu walimwita Yesu, wengine Mungu amshukuru ..... Kimya. Mama hukutenda haki kufanaanisha Simba wa Yuda. Inginekuwa Imani nyingine leo maandamano, lakini Mungu wa amani kawatuliza Wakristo wavumilie maana yanapita kama upepo.
Hilo jina la Simba wa Yuda,hata Haile Selassie,ameitwa jina la Lion of Juda,toka miaka ya 1960,yeye ni mkristo wa Orthodox,mbona hakulipinga wala hakukuwahi mkristo yoyote duniani kupinga.Na mpaka Hivi sasa anaitwa Simba wa Yuda.
Ukristo ulionao wewe,huwezi kuufikia wa Ethiopia,hata kidogo,wao hawakupelekewa ukristo na Wazungu,wa Ethiopia ni wakristo wa asili,na ni Orthodox.
 
Narudia tena swali; Ni wapi pameandikwa kwamba Simba wa Yuda ni Yesu???!!
Biblia haiwezi kuwa nyepesi inayotafuna herufi kwa herufi. Kuna vitabu vya kinabii mfano cha Ufunuo wa Yohana ambacho kama huna Roho wa Bwana kukufunulia huwezi kuelewa.

Cha kukusaidia tafuta walimu wa dini na watumishi wa kiroho wakusaidie kukufunulia usiyoyaelewa au omba kwa Roho wa Bwana na si kuuliza swali linalotia shaka ufahamu wako.
 
Kumbe Magufuli alikuwa simba wa Yuda! Simba wa Yuda (Yesu Kristo) alikuja duniani ili kuwakomboa watu (wanyonge). Kumbe m*** alikuwa anamsifia hayati!
 
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.

Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.

Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Ohooooooo !!!!
 
Lete ushahidi hapa, wewe ndiye unayetaka kuleta ligi Bila ushahidi.

Ras Tafari (Haile Selassie) yule Emperor wa Ethiopia ndiye anayeitwa Lion of Judah na ushahidi upo, sasa wewe leta ushahidi wa Biblia kwamba Yesu ndiye Lion of Judah na sio kelele hapa.
Huyo mfalme Selasie hilo jina LA simba alipewa na wazazi wake? Hujui pia alikuwa anajiita mfalme wa wafalme au Utatu mkuu au Aliyeteremshwa na mungu? Huoni kabisa majina yote aliyokuwa anajiita ni makufuru? Najua hujui lakini omba toba kabla ghadhabu ya Mungu haijakuwakia ndani yako.

Narudia tena Simba wa Yuda ni Yesu pekee yako ndio maana hata Diamond anajiita SSimba lakini hakuna anayehoji lakini kwa simba wa Yuda ni jambo jingine
 
Back
Top Bottom