Rais Samia atuombe msamaha Wakristo, Simba wa Yuda kwetu ni Yesu Kristo peke yake

Rais Samia atuombe msamaha Wakristo, Simba wa Yuda kwetu ni Yesu Kristo peke yake

Discussion siyo kifo bali matumizi ya هيافوs sehemu isiyotakiwa.
Katafute wewe sehemu inayotakiwa, sasa hakuna cha simba wa sharubu. Wacheni uoga wa kijinga. Kwisha wakati wake.
 
Wewe umeona pameandikwaje? Ukiona huelewi ujue huna cha kukuelewesha ndani yako. Ndiyo ninyi mliambiwa mkikwama muwaulize watu wa kitabu.
Yohana aliona yule anayetakiwa akifungua kitabu ni simba wa yuda pekee na pale ni mtu anazungumziwa sasa kama si YESU BASI NI NANI MWINGINE AMBAYE NI ALAMA SAHIHI YA KIAMA?
Mtabishana sana, Yesu hajawahi kuwa mfalme wa Wayahudi na hakuna aliywahi kuwa mfalme wa Wayahudi. Nani zaidsi ya haile selassie ndiye aliyekwa mfalme na ni simba wa yuda aliyefia kwenye banda la ng'ombe.
 
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.

Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.

Rais kweli hapa si sawa kabisa.

Amina, dharau kubwa sana, Asipojirudi basi wacha Simba wa Yuda, Yesu Kristo ashughulike naye.
 
Mtabishana sana, Yesu hajawahi kuwa mfalme wa Wayahudi na hakuna aliywahi kuwa mfalme wa Wayahudi. Nani zaidsi ya haile selassie ndiye aliyekwa mfalme na ni simba wa yuda aliyefia kwenye banda la ng'ombe.

Kweli kabisa kwa akili kama zako za kuvukia road
 
Kweli kabisa kwa akili kama zako za kuvukia road
kwa zako wewe, tuambie lini Yesiu alikuwa mfalme wa Wayahudi? Simba wa Yuda (Wayahudi) ni nembo ya Kifalme wewe. Nembo hiyp wa mwisho kuitumia "official" alikuwa Haile Sellasie wa Ethiopia.

Msitake kujaza watu ujinga mliojazwa nao makanisani huko.
 
Msimlazimishe kuomba msamaha, SIMBA WA YUDA yupo atajitetea mwenyewe. Aliyepita watu walikuwa wanamsujudia na wengine walimwita MUNGU. Mungu aliposhuka nadhani hakuna asiyejua kilichotokea.
Mungu wetu ni Mungu mwenye wivu.
 
Wewe ni mkristo? Au unadandia treni front. Sisi wenyewe wakristo tumeona poa tu we wa dini ya mataifa unalalamika.
Kama Mkristo na- support kazi anayofanya Mama nchi hii lakini siwezi kusema binadamu kuitwa Simba wa Yuda ni sawa au poa. Binafsi naelewa kafanya hivyo bahati mbaya bila kuujua ukweli.
Ila kwako ni aibu sana kusema Wakristo tumeona poa.
Halafu kajifunze kwenye Biblia wa Wamataifa ni nani ( Gentiles). In short ni wewe na mimi ambao sio uzao wa Israel (Yakobo).
 
Mbona wapambe wa mwenda zake walipo mfananisha mwenda zake na Yesu mliufyata hakusema kitu.
Mbona sabufa aliposema anamfahamu mke wa Yesu tulikaa kimya,Leo hizi kelele zinatoka wapi?
Sisi wafuasi wa hii dini busara yetu ni kunyamaza.
 
Yuda Ni kabila la yuda. Biblia siyo gazeti. Acha kukurupuka.
 
Huyu mbona sijawahi sikia mkilalamika,

King of Kings , Lord of lords, conquering LION OF JUDAH , His Imperial Majesty Haile Sellasie I
s-l300.jpg
 
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.

Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.

Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Hiyo imeisha

Hata YESU mwenyewe wayahudi walikata pale Herode alipoandika MFALME WA MAYAHUDI

Nisawa na SASA mnavokataa
 
Msisahau Januari na nape ndio walioleta cyber crime law. Na kwa utabiri wa Lema na Lisu mama anaweza akapigisha mchakamchaka nyie mnaocoment vibaya zaidi ya mwendazake.

Anaweza akavua koti mitandao yote ikapigwa pini. Mnapokosoa mjiangalie kidogo. Online kila unapoingi na ku log in huwa unaacha signature yaani IP adress na vinginevyo kwahiyo kukupata ni rahisi sana. Fikiria na chukua hatua.
 
kwa zako wewe, tuambie lini Yesiu alikuwa mfalme wa Wayahudi? Simba wa Yuda (Wayahudi) ni nembo ya Kifalme wewe. Nembo hiyp wa mwisho kuitumia "official" alikuwa Haile Sellasie wa Ethiopia.

Msitake kujaza watu ujinga mliojazwa nao makanisani huko.

Umekaa kibishi, baki hivyo hivyo.
 
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.

Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.

Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Si sawa kwa nini? Dini huijui unajitia kimbelembele wakati muda wote uko busy kutenda madhambi tuuui!!
 
Naomba nikili udhaifu huu nilio nao Mimi

Uwa napenda sana kuwasikiliza viongozi wetu, uwa nachukua muda mwingi kutafakari Kila wanachokisema.

Nimetangulia kusema ni udhaifu wangu maana unaweza ona nachukua muda mrefu kuwa najadiri neno moja baada ya jingine lilirotamkwa na watawala nasema watawala na sio viongozi.

Mfano kauli ya Mama yetu Samia kumuita Magufuli yakuwa alikuwa ni Simba wa Yuda ni kumfananisha na Yessu Kristi Ili ni kosa kubwa sana

Magufuli hakuwa Simba wa Yuda na hatokuwa walio muita hivyo ni wazindaki walio taka wapewe uraji.

Leo hii Mama Samia anamuita Magufuli Simba wa Yuda Tena kwa kumkashifu,sio kwa kumsifia anamuita Simba wa Yuda Alie ponya wagonjwa na kufia wenye dhambi?
Leo hii Simba wa Yuda Yessu unamfananisha na Magufuli kikashifa?mama umeanza kumkashifu Yessu kiristo ni kiburi Cha Uongozi hama ?
Yessu kiristo alimtisha nani?Simba wa Yuda alimtisha nani?

Mafuguli alikuwa mtu, kama watu wengine hawezi fananishwa na Simba wa Yuda nimwimbae kwenye nyimbo

Ewe unae soma Uzi huu imba kawimbo haka ka SImba wa Yudaa..........
Simba wa Yuda.....
Mi naomba andiko ndani ya biblia linalo mtaja Yesu kuwa ni simba wa Yuda.
 
Ufunuo 5:5 Na mmojawapo wa wale wazee akaniambia,Usilie;tazama Simba aliye wa kabila ya Yuda,Shina la Daudi,yeye ameshinda apate kukifungua kile kitabu,na zile muhuri zake saba.
Na mwana Kondoo ni nani kama Simba ni Yesu?
 
yuda si jina tu bali ni kabila pia. Huyo yuda iskariyote ni jina lake la kwanza kulikuwa na yuda wengi ndio maana yule alitambuliwa kama yuda iskariote. Ila simba wa yuda ni moja tu YESU AITWAE KRISTO
Na mwana Kondoo ni yupi kama Yesu ni Simba?.
 
Labda Magufuli ndo alikuwa anajiita hivyo kwa mawaziri wake. Ndo maana wengine wakawa wanamwita mheshimiwa Mungu
 
Back
Top Bottom