wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Ndiyo maana Magu alikuwa anajilipua mwenyewe tu na misalaba anaibeba yeye.Mama keshafahamu analishwa matango pori, mama awe makini team inayomzunguka kuna watu wanapanga safu zao asipoangalia 2025 atajikuta nje...
Amuulize Jiwe alokuwa anateua watu baada ya muda anawatengua?Huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu?
Huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----
Hapa kazi tu imeenda na mwendazake achana nayo#Hapa Kazi Tuu
Miaka tisa na miezi kadhaa, na kuna uwezekano huko mbele ya safari, tukaja kumuongezea na bonus nyingine ya miaka kadhaa kwa sababu hatujawahi kupata Rais mwanamke tangu tupate UhuruZaidi ya tisa?????
Mapema sana kusema hivoMiaka tisa na miezi kadhaa, na kuna uwezekano huko mbele ya safari, tukaja kumuongezea bonus ya miaka minnine kadhaa mingine kwa sababu hatujawahi kupata Rais mwanamke tangu tupate Uhuru
Mkuu hapo halijatolewa tamko lingine kuwa anapelekwa wapi tena baada ya utenguzi.Sasa Mwesiga atarudi alikokuwa au? sababu kutangazwa kuwa unaenda mahali fulani maana yake nafasi yake iko wazi alikokuwa sasa kama ametangazwa kutenguliwa bandari maana yake kibarua hana kote
Sababu ikulu ilitakiwa itamke kuwa ametenguliwa kule na Raisi kamteua aendelee pale alipokuwa Sasa status ya Mwesigwa yake ikoje? Kesho aende kazini au alale nyumbani?
Hapo ndipo kwenye Tatizo kuuKwanini Rais anateua mtu ambaye hamjui vizuri na hana CV zake mezani? washauri wa Rais kwenye mambo ya uteuzi ni akina nani!?
Naelewa isipokuwa ni njia mojawapo ya kumuombea mema hata katika kipindi chake hiki ambacho ni stahiki kwa mujibu wa Katiba iliyopo sasaMapema sana kusema hivo
Mbona hizo sifa "lukuki" wengine hatuzioni. Ziainishe tuchambue kama anazo kweli au hana.Hizi sifa rukuki kwa jambo dogo lifanywalo na viongozi wetu linawaharibu. Wa Tz mmepatwa na kirusi gani hiki?
Uliutaka utawala wa ukiritimba?Mama anaharaka gani wakati tushamwambia nchi yake hii???
Atulie bhana..
Nampa pole sana dadaangu Raisi Samia, hii ni mara ya pili. Ya mwanzo siku 14 za maombolezo ya JPM.
Nilikumiss sana mama. Usipotee hivyoMbona hizo sifa "lukuki" wengine hatuzioni. Ziainishe tuchambue kama anazo kweli au hana.
Mkuu wenye mamlaka ya utenguzi hawajatoa tamko lingine aende wapi tena.Sasa Mwesiga atarudi alikokuwa au? sababu kutangazwa kuwa unaenda mahali fulani maana yake nafasi yake iko wazi alikokuwa sasa kama ametangazwa kutenguliwa bandari maana yake kibarua hana kote
Sababu ikulu ilitakiwa itamke kuwa ametenguliwa kule na Raisi kamteua aendelee pale alipokuwa Sasa status ya Mwesigwa yake ikoje? Kesho aende kazini au alale nyumbani?