cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu sasa ndio naelewa kwanini Marehemu alikuwa anawatukana watanzania wana mdomo na ujuwaji sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu sasa ndio naelewa kwanini Marehemu alikuwa anawatukana watanzania wana mdomo na ujuwaji sana.
Bachelor degree evening classes[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787]Mashirika nyeti hayo hayafai watu wa kusoma kwa kuunga unga, mara bachelor degree evening classes nk. Na exposure hana zaidi ya siasa zetu uchwara sijui uvccm sijui nn...
Washauri wz Rais mama Sameer watakuwa bado ni walewale masalia ya hayati Mwamba wenye chuki,wivu na rohombaya. Jiwe a.k.a Mwamba/Mwambafy aghalabu alikuwa akizingatia welding na CV zaidi ya akili yake inavomtuma. Mfano live ni aliyekuwa RC DSM Bwana Makonda mwenye CV ya Div.0 ya Form 4.....!!!!Kwanini Rais anateua mtu ambaye hamjui vizuri na hana CV zake mezani? washauri wa Rais kwenye mambo ya uteuzi ni akina nani!?
Hapa Mama afanye maamuzi kwani ndio kutamwongezea sana utendaji kwa kuwa wanaodai wanataka kwenda kufanya biashara na tukumbuke huwezi kufanya biashara bila kulipa kodi pia watatoa ajira kwa wingi na mzunguko wa fedha utaongezeka zaidi mitaani kuendana kuachia mafao ya watu wanaodai makato yaoHawa watu wa Mifuko ile wanajiona Sana. Pesa yetu utadhani tunaomba mikopo wakati ni haki yetu. Njoo kesho hadi sasa imefikis miaka minne watu wanasotea malipo yao. Fikiria mstaafu anayetoka Kagera kwenda Dodoma kufuatilia malipo halafu anaambiwa arudi mwezi ujao, hii ni haki kweli?
Bado Wakurugenzi TCRA na TTCL...!!!Sawa ila kwa staili yake hii ametengua wengi ambao hawana sifa binafsi naanza kumtoa Jaffo Tamisemi, pale TRA na Katibu Mkuu Wizara ya Afya.
🤐Bachelor degree evening classes[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787]
Umenipatia mbavu mkuu....ila on serious note evening classes wote huwa ni vilaza sana
Hilo linahitaji mabadiliko ya katiba kama KenyaKwenye vyeo vikubwa wawe wanaruhusu watu ku apply then wafanyiwe michakato uliyotaja ikiwezekana wapitishwe na bunge, bila hvo tutaendelea kupata watu wasio wazoefu
Halafu we ni mwanamke! Hivi wanawake tumelaaniwa kwa roho mbaya? Toka huyu mama ameapishwa kuwa Rais, hakuna mwanaume hata mmoja alishawahi toa comment kama hii yako yenye maneno makali hivi[emoji57][emoji57] narudia hakuna...lakini wewe uko hapa kumdissapoint mwanamke mwenzakoHuyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu?
Huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----
Mi nashauri ahame kabisa ikulu ya Dar, maana inaonekana be Dar wajaa wahuni tu hapo ikulu.Anatakiwa awatengue fasta hao watu tena aiweke public kuwa katwngua watu fulani kwa kumpotosha ili wanaokuja chukuabhiyo nafasi wajue wanapewa kazi gani...
Ni watu gani hawa by the way?
Maana wakurugenzi wa mashirika sehemu nyingi duniani huwa ni interview, pia kwa nature ya bunge letu vilaza mbona Napo ni shida. Pia katiba siinaweza kuwa amended kwenye vipangele ili ku updateHilo linahitaji mabadiliko ya katiba kama Kenya
Huyo ana ule unaitwa, "WIVU WA KIKE".....!!!Halafu we ni mwanamke! Hivi wanawake tumelaaniwa kwa roho mbaya? Toka huyu mama ameapishwa kuwa Rais, hakuna mwanaume hata mmoja alishawahi toa comment kama hii yako yenye maneno makali hivi[emoji57][emoji57] narudia hakuna...lakini wewe uko hapa kumdissapoint mwanamke mwenzako
Shame on you, mav.i kabisa!
Huyo mama aliyetoa hyo comment atakuwa mchawi hamna ambaye huwa hapitiwi na kukosea Jambo, ila huyo mama comment yake ni ya mkaanga sumu kabisa.Halafu we ni mwanamke! Hivi wanawake tumelaaniwa kwa roho mbaya? Toka huyu mama ameapishwa kuwa Rais, hakuna mwanaume hata mmoja alishawahi toa comment kama hii yako yenye maneno makali hivi[emoji57][emoji57] narudia hakuna...lakini wewe uko hapa kumdissapoint mwanamke mwenzako
Shame on you, mav.i kabisa!
Hatuna shida ila huwa ni ujinga wa wanawake wasiojielewa, Mimi Mara nyingi nimekomeshwa na wamama watu wazima kabisa aiseeHuyo ana ule unaitwa, "WIVU WA KIKE".....!!!
Wanawake iko shida kubwa!!
Imagine...waliotakiwa angalau kuongea haya ni mwanaume, lakini janamke linasimama na kutoka povuuu[emoji57][emoji57]Huyo ana ule unaitwa, "WIVU WA KIKE".....!!!
Wanawake iko shida kubwa!!
Mkurugenzi wa TCRA katumbuliwa nafasi yake imeshikwa na mzoefu Dr somebody jabirBado Wakurugenzi TCRA na TTCL...!!!
Hawa lazima wang'oke wanaharibu na kuvuruga mtandao wa Mawasiliano ya Data na Simu Tanzania.
Ndio mataga walivyounajisikiaje lakini,tulipomkaa wa mwanzo ulitetea?wamemtoa tena unasifia utenguzi
atampata wapi ili amuulize jamani! au sikuhizi marehemu wanaulizwa?Huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu?
Huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----
@cariha Yaan huyu ni zaidi ya mtembea na ungo, ana wivu wa kupindukia khaaaa[emoji848][emoji848]Huyo mama aliyetoa hyo comment atakuwa mchawi hamna ambaye huwa hapitiwi na kukosea Jambo, ila huyo mama comment yake ni ya mkaanga sumu kabisa.
Nashauri Mhe. Rais awe macho sana na wanawake wenzie.....kuna wengi hawaja pendezewa kabisa na Mama Sameer kushika Usukani wa Jahazi letu linalopigwa Mawimbi makubwa kati ya bahari....!!!Huyo mama aliyetoa hyo comment atakuwa mchawi hamna ambaye huwa hapitiwi na kukosea Jambo, ila huyo mama comment yake ni ya mkaanga sumu kabisa.
Ndiyo ujue huyu bi rosemarie ni kigagula maana wao huongea na marehemu....!!!!atampata wapi ili amuulize jamani! au sikuhizi marehemu wanaulizwa?