x - mas
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 931
- 612
ianashangaza kwakweli.Ndiyo ujue huyu bi rosemarie ni kigagula maana wao huongea na marehemu....!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ianashangaza kwakweli.Ndiyo ujue huyu bi rosemarie ni kigagula maana wao huongea na marehemu....!!!!
TCRA kashatolewa janaBado Wakurugenzi TCRA na TTCL...!!!
Hawa lazima wang'oke wanaharibu na kuvuruga mtandao wa Mawasiliano ya Data na Simu Tanzania.
Mimi huwa najiuliza hyo tabia ya roho mbaya kwa wanawake wenzao huwa inatoka wapiNashauri Mhe. Rais awe macho sana na wanawake wenzie.....kuna wengi hawaja pendezewa kabisa na Mama Sameer kushika Usukani wa Jahazi letu linalopigwa Mawimbi makubwa kati ya bahari....!!!
Huyu ana roho ya ajabu sana loh@cariha Yaan huyu ni zaidi ya mtembea na ungo, ana wivu wa kupindukia khaaaa[emoji848][emoji848]
Rais hawezi kuwafahamu wateuliwa wote,wala si lazima awafahamu. Tatizo la nchi hii kwa Muda sasa ni Mifumo.Ina maana sio yeye anayeteua hawa watu na kusaini pia? Mama anaanza kutuzingua.
Alikuwa na yeye anagombea nkenge akapigwa spana na wajumbeKama huyu dogo alikuwa DSO kipindi cha uchaguzi mkuu basi Zito alikuwa na haki kushindwa
Weweee.........huyu mama ni poa sana, kwa kila kitu.Huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu?
Huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----
Kama wewe ni msomaji wa Biblia fuatilia habari za hawa wanawake 3 tu utaona shida ya mwanamke imetokea mbali sana:Mimi huwa najiuliza hyo tabia ya roho mbaya kwa wanawake wenzao huwa inatoka wapi
Dah aiseeAlikuwa na yeye anagombea nkenge akapigwa spana na wajumbe
Lilikjwa linapigwa mawimbi, sasa jahazi limeanza kutulia.Nashauri Mhe. Rais awe macho sana na wanawake wenzie.....kuna wengi hawaja pendezewa kabisa na Mama Sameer kushika Usukani wa Jahazi letu linalopigwa Mawimbi makubwa kati ya bahari....!!!
Wapiga domo nyie.Kwa hili mama anaonekana ni kivuli kuna wanaume wa shoka wapo nyuma yake wanamuongoza, since day one anaapa mama alionesha wazi viatu vya uraisi ni vikubwa kwake...
Mama hawezi fanya maamuzi ona sasa anaabika kisa teuzi ndogo ndogo kama hizi...
Halafu teuzi nyingi za mama ni za kimehumko na kimajungu zaidi..
Awamu ya 5 ilikuwa na namna yake ya kupata Wakuu wa Taasisi. Nayo ni direct appointment na mwendo wa Head Hunting.Hapa umeongea mchakato halisi unavyofanyika. Tena zoezi hili husimamiwa na katibu mkuu wa wizara husika akishirikiana na bodi ya taasisi husika.
Kuna kipindi nafasi ya DG bandari, EWURA na FCC zilitangazwa miaka kama mitatu au minne nyuma na ulipaswa utume maombi kwa makatibu wakuu husika. Ila baadae ghafla pia wakateuliwa watu moja kwa moja.
Teua wewe basi usie na matatizo.Huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu?
Huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----
Salam bossWapiga domo nyie.
Yaani mtu hata mwezi hana tayari mshaanza. Eti teuzi nyingi, teuzi nyingi zipi??
Nimeiona....tumbuatumbua ya mama inaendelea....!!!TCRA kashatolewa jana
Hivi akae nani mpaka tuwe na rais??? Akae Lissu au??Hii kwangu inatosha kusema hatuna Rais hapa,ni mfano wa rais tu. Unawezaje kuteua mtu wa shirika nyeti kama lile bila kufanya vetting ambayo hata mteuzi mwenyewe lazima asome ripoti na cv pembeni.
Utaratibu hata hapa upo hivyo ni taasisi chache sana Rais huteua moja kwa moja. Mara nyingi huwa anapelekewa majina matatu baada ya usaili kufanyika.Maana wakurugenzi wa mashirika sehemu nyingi duniani huwa ni interview, pia kwa nature ya bunge letu vilaza mbona Napo ni shida. Pia katiba siinaweza kuwa amended kwenye vipangele ili ku update