Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Amina , Mungu kasikia kilio chetu kamuondoa mnafki.Hiyo ilikuwa ni slogan tu ya danganya toto!!!
"Wanyonge" wa Jiwa walikuwa ni ndugu zake, wanaukoo, marafiki, makada CCM na washabiki wake! That's all and nothing else!!
Sent using Jamii Forums mobile app