cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Wengine ili waonekane tu wamekosoa, ngoja mama akasirike awe ka jiwe ili watie akili vzuriHawa watu wanakera kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine ili waonekane tu wamekosoa, ngoja mama akasirike awe ka jiwe ili watie akili vzuriHawa watu wanakera kwa kweli
Twira kuna wajinga Yani kigogo akishasena kwao wanabeba hivo hivo bila kuchekecha mamboMkuu pitia mitandaoni hasa huko Twitter ambako tunadhani inawezekana wengi wao wana ufahamu ,maarifa na utashi wa kiwango kikubwa angalia hoja zao si kujenga nchi au kushauri huko wamejaa watu wenye Roho mbaya ,wivu, ubinafsi ,chuki ,Visasi na wenye kutamani nchii ianguke au ipate matatizo kwao ni furaha sasa kama ww unaweza chukua ushauri wa watu ambao 90% wanaongozwa na mawazo ya Kigogo ,Chalali,Fatma Karume, na yule mjaruo?
Bora hata hapa JF wapo watu ambao unaweza kuchukua hata ushauri kwao kuliko kule ambapo Nchi ikipata matatizo wanashangilia utadhani wao wapo Chicago USA
Nani nchi hi hajui kuwa huyo Ngosha Dotto James ni mtoto wa dadake na marehemu Jiwe....???Nilishtuka sana mwaka 2015 mwezi wa 12 nilipoona jina la Doto Mgosha James kuwa naibu katibu mkuu wizara ya fedha.
Alipanda kutoka kuwa Transport Economist TANROADS to deputy permanent secretary alipata uzoefu wa miezi sita kupanda kuwa katibu mkuu.
Nafasi ya katibu mkuu hazina ndio injinia mkuu ya uchumi wa nchi.
Tunalalamika nini wewe umekuja kuomba kazi tumekufanyia interview na umepita bhasi tunakuacha kufanye kazi yeye na JPM waliomba kazi ya kutuongoza miaka 5 mpk 2025 wakiwa na vision na mission yao kichwani kuwa watafanya hiki na kile bhasi wafanyie kazi mawazo yao tatizo kila mtanzania mwenye smartphone na akiwa na account Twitter anajiona mbobevu wa maswala ya kisiasa na kiuchumiAkirudi kuwa ka jiwe asisikilize musilalamike tena
[emoji3][emoji3][emoji3]Jamaa ni age mate lkn naona mwenzangu nyota inawaka na kuzima mi ya kwangu imezima kbsa haitaki kuwaka hta kidogo
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hapo uliposema hatukuwa na ujirani mwema na Kenya ndio umegusa. Ina maana kwa kauli ile ya raisi Kenyatta huo ugomvi unaosemwa ni nadharia tu za mitandaoni.
Pamoja na trade wars zetu za kila siku. Kenya wakiwa heavily dependants wa raw material za Tanzania mpaka kesho Raisi alielewa road map ya Magufuli kwa wakulima wa Tanzania na agenda zake za kulinda resources.
Mama should stick to the plan. Sio lazima atumie mbinu za mtangulizi wake kufikia malengo. Nonetheless she should follow what worked (don’t mend it, if it’s not broken) and that includes sticking by people who can deliver results and their performance is measurable.
Kuna tatizo linakuja huko mbele. mama hteui mwenyewe, analetewa bila yeye mwenyewe kufabya scrutiny!
YOHANA UNIVERSITYHuyu kadaganya umri ili apate fursa uvccm , ila hata elimu yake ya chuo Cha Mtakatifu Yohana ni ya kuunga unga
Maamuzi yangu yakwenda UDSM kumbe sikukosea aise. Maana nmegundua watu wapo sensitive na majina ya vyuo hatari.[emoji3][emoji3][emoji3]
hahaaaaaaAcheni kusumbua wastaafu