Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mnasemaga tuu hekma na busara, ukali unasaidia unapokuwa na watu wahuni na taasisi corrupt,angalia China,Japan,UAE ma Dubai ninani aliyanyanyua uone kalba zao ilikuwa busara tuu ama ukali ulinyoosha mambo!!
Hakuna nchi duniani iliyonyanyuliwa kiuchumi kwakasi na mwanamke!!
Ni ukweli ukali unasidia lakini sio jazba.