Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

Mama aachane na mitandao afanye kazi taratibu. Lakini sasa anateua anakimbilia kuchungulia comment za raia. Ina maana alikua haoni kabisa alichokua anafanya mtangulizi wake?
Mama is being herself. Mtangulizi wake si ndio bado tunaendelea kumsimanga na kumsengenya tu japo kashazikwa???!!!!!!!

I bet mtamfikisha Mheshimiwa rais stage ya kutoskiliza msemayo.

Tumepata rais anaeskiliza mawazo yetu hata Sisi tuliopo huku kwa mkono kupitia mitandao lakini bado pia mnalalamika????
 
Unapoomba cheo au nafasi sehemu yeyoye lazime uwe na vision yako mwenyewe kama wewe mama na JPM walikuja kwa wananchi kuomba tuwape nafasi ya kutuongoza kwa miaka mingine mitano wakiwa na mission na vision yao wapi ,kipi watafanya kwa nchi ktk kipindi cha miaka mingine 5 sasa unapooniambia kuwa kila wanalosema watu wa mitandaoni ambao ni kama 7% ya watanzania wote milioni 60 tena hasa walio Twitter hambao hawafiki hata 2% ya watanzania wote wanachosema anatakiwa kufanya bhasi tujue tupo hatarini sana kama kiongozi atakuwa anasikiliza watu wa mitandaoni bila yeye mwenyewe kuwa na mission au vision yake na kutegemea comment za mitandaoni kuendesha nchi.
Mkuu rejea nimesema kwamba she did what was necessary .

Mimi naamini kwamba ndani ya taifa letu hao 7% ambao angalau wapo kwenye mitandao basi ndio kundi la elite limo humohumo.

Ni kweli Mama anayo vision na mission yake lakini je kuna ubaya kuskiliza watu??

Ni Sisi ndio tulisema JPM alikuwa ndio mshauri wa washauri wake.
 
Jamaa hatumbuliki aisee
Huyu hii kazi aliipata tangu enzi za JMK. Wakansagia janga akaokolewa na TAKUKURU na kuendelea na Magufuli, sasa ndiyo wakaona wamuondoe kinyemela kwa kumteua mtu mwingione, yeye afe kikazi kimya kimya.
 
Kwa sababu TLS na majaji mahakamani ndio wanaofahamu nani atakuwa hakimu au jaji mzuri na pia itaupa mhimili wa mahakama uhuru kutoka mhimili wa dola jambo ambalo limekosekana kwa muda mrefu.
Kwanini wapendekezwe na TLS na Mahakama???
 
Ileteni hiyo CV na sois tuione ingawa tuliishia la 8 la zamani.
Mods wa jf ni wapuuzi, ilikuwa kwenye uzi unaojitegemea ambapo ingekuwa rahisi kukuelekeza ila wao wakaiunga kwenye huu uzi....kama una moyo ukipekua hii thread utaiona...

Ila kiufupi uzoefu mkubwa wa mteuliwa ilikuwa ni kufanya kazi UVCCM.
 
Washauri wz Rais mama Sameer watakuwa bado ni walewale masalia ya hayati Mwamba wenye chuki,wivu na rohombaya. Jiwe a.k.a Mwamba/Mwambafy aghalabu alikuwa akizingatia welding na CV zaidi ya akili yake inavomtuma. Mfano live ni aliyekuwa RC DSM Bwana Makonda mwenye CV ya Div.0 ya Form 4.....!!!!
Naibu km nishati ni div ⁰ f6
 
Mkuu rejea nimesema kwamba she did what was necessary .

Mimi naamini kwamba ndani ya taifa letu hao 7% ambao angalau wapo kwenye mitandao basi ndio kundi la elite limo humohumo.

Ni kweli Mama anayo vision na mission yake lakini je kuna ubaya kuskiliza watu??

Ni Sisi ndio tulisema JPM alikuwa ndio mshauri wa washauri wake.
Mkuu pitia mitandaoni hasa huko Twitter ambako tunadhani inawezekana wengi wao wana ufahamu ,maarifa na utashi wa kiwango kikubwa angalia hoja zao si kujenga nchi au kushauri huko wamejaa watu wenye Roho mbaya ,wivu, ubinafsi ,chuki ,Visasi na wenye kutamani nchii ianguke au ipate matatizo kwao ni furaha sasa kama ww unaweza chukua ushauri wa watu ambao 90% wanaongozwa na mawazo ya Kigogo ,Chalali,Fatma Karume, na yule mjaruo?

Bora hata hapa JF wapo watu ambao unaweza kuchukua hata ushauri kwao kuliko kule ambapo Nchi ikipata matatizo wanashangilia utadhani wao wapo Chicago USA
 
Huyu mtetezi wa wanyonge kaharibu sana hii nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Madai yako siyo kweli: hakuna mtu aliyeshindwa ubunge aliyewahi kuteuliwa kuwa mkurugenzi wa mashirika nyeti. Mkurugenzi wa Tanesco aliteuliwa kutoka moja kwa moja chuo kikuu, hakuwa amegombea ubunge. Na wala hakuteuliwa mara moja bali alianza kama kaimu kwa muda karibu mwaka mzima kabla ya uteuzi rasmi. Mkurugenzi wa TPA naye aliteuliwa kutoka TANROADS naye alikaimu nafasi ile kwa karibu mwaka kabla ya kuteuliwa. Mfugale alirithiwa kutoka kwa Kikwete, na Mataragio naye alirithiwa kutoka kwa Kikwete. Uteuzi wa wakurugenzi wa TRL and ATCL ulifanywa kufuata taratibu zilizopo na wala hawakuwa wamegombea ubunge.
 
Kwa sababu TLS na majaji mahakamani ndio wanaofahamu nani atakuwa hakimu au jaji mzuri na pia itaupa mhimili wa mahakama uhuru kutoka mhimili wa dola jambo ambalo limekosekana kwa muda mrefu.
Samahani mkuu,

Nahisi tulikuwa tunazungumzia teuzi kwa ujumla na sio teuzi za watu kushika nyadhifa za kimahakama tu.

Au mimi nimekosea??
 
Ummy wizara hii itamshindwa
Kazi yake kuzodoa tu, hawezi jivunia yeye binafsi improvement ya performance indicator hata moja aliyoacha huko afya.

Ukisikiliza mitandaoni watakwambia alikuwa the best on what measurement? Uwezi pewa jibu miaka 800, halafu wanampeleka kugumu zaidi.
 
Mkuu pitia mitandaoni hasa huko Twitter ambako tunadhani inawezekana wengi wao wana ufahamu ,maarifa na utashi wa kiwango kikubwa angalia hoja zao si kujenga nchi au kushauri huko wamejaa watu wenye Roho mbaya ,wivu, ubinafsi ,chuki ,Visasi na wenye kutamani nchii ianguke au ipate matatizo kwao ni furaha sasa kama ww unaweza chukua ushauri wa watu ambao 90% wanaongozwa na mawazo ya Kigogo ,Chalali,Fatma Karume, na yule mjaruo?

Bora hata hapa JF wapo watu ambao unaweza kuchukua hata ushauri kwao kuliko kule ambapo Nchi ikipata matatizo wanashangilia utadhani wao wapo Chicago USA
Mimi nadhani si ubaya kupokea ushauri. Muhimu ni mama kuchambua anayo shauriwa kwayo.
 
Rais ateua moja moja kwa moja mawaziri, mabalozi, na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kwa sababu hao ni watendaji katika mhimili wake inapofikia kuteua majaji ateue kutoka listi iliyopendekezwa na TLS pamoja na mahakama kwa sababu huo ni mhimili mwingine
Samahani mkuu,

Nahisi tulikuwa tunazungumzia teuzi kwa ujumla na sio teuzi za watu kushika nyadhifa za kimahakama tu.

Au mimi nimekosea??
 
Hapo uliposema hatukuwa na ujirani mwema na Kenya ndio umegusa. Ina maana kwa kauli ile ya raisi Kenyatta huo ugomvi unaosemwa ni nadharia tu za mitandaoni.

Pamoja na trade wars zetu za kila siku. Kenya wakiwa heavily dependants wa raw material za Tanzania mpaka kesho Raisi alielewa road map ya Magufuli kwa wakulima wa Tanzania na agenda zake za kulinda resources.

Mama should stick to the plan. Sio lazima atumie mbinu za mtangulizi wake kufikia malengo. Nonetheless she should follow what worked (don’t mend it, if it’s not broken) and that includes sticking by people who can deliver results and their performance is measurable.
Mitandao ina mnadanganya, hiyo mitandao ni ony 2-10% pengine hata hawafiki, kazi itakuwa ngumu kwake akifanya kazi kufurahisha mitandao, kazi ya kuwa Rais wa nchi sio rahisi kama tunavyofikiria.

Road map ya maendeleo tayari ako nayo, angepigania kumaliza agenda na visions ambazo ziko tayari na kizisimamia wakati huo akiangalia ni watu gani ambao wanadeliver anawabakiza na kutoa watu ambao hawaleti impacts katika kazi zao ( zero/poor performance), hatakiwi kurush kwenye hizi teuzi atajikuta anateua hata katibu wa sungu sungu kuwa General manager, let her focus ongoing agenda and projects .

Cha mwisho atambue kuwa yeye anataka Tanzania ya aina gani? akilijua hilo basi atakuja na vipaumbele vyake, vision yake as time goes, lakini akianza kusikiliza kila mtu anasema hivi mara vile ohhhh tulifungiwa biashara, ohh TRA ohhh serikali ilihamisha pesa account ohhh bundles hizi ni njia za watu kumuyumbisha, mwaka utakatika hivihivi.
 
tamisemi inahitaji MTU mwenye sauti kali kukaripia na kutishia wahuni na majizi
Uongozi hauangaliwi kwa kukaripiana na kutishana. Uongozi na kuonyesha njia na katika kufanya hivyo tunatumia hekma na busara zaidi ya vitisho na makaripio.
 
Mimi nadhani si ubaya kupokea ushauri. Muhimu ni mama kuchambua anayo shauriwa kwayo.
Trust me tabia ya kiumbe yeyote mwenye uhai hutakiwi kuonyesha udhaifu wake na udhaifu wake ni siri yake hata mkeo au mumeo hatakiwi kuujua kwani akiujua kuna siku atautumia dhidi yako.

Wakiwa wanasema na ww faster unareact wanajua huu ndo udhaifu wake 19 March 2021 mama ndo kaingia ofisini kama Rais wa JMT chini ya mwezi mmoja amefanya maamuzi 3 makubwa kutokana na mitandao mfano ni jana tu chini ya masaa 24 kafuta uteuzi wa aliyemteua yeye mwenyewe kwa watu wa mitandao kupiga kelele kuna akili itajengeka kwa watu kuona kumbe ukitaka jambo au ajenda yako kupita ni kumpressure mama kupitia mitandaoni uoni kwamba kunasiku maadui wa Nchi hii wanaweza kupitisha ajenda zao kwa kusponsor wale wakuu wa mitandaoni kupressure kupitisha agenda zao hovu kwa vigezo hiki?

Ukikosea na ukajua umekosea usifanye maamuzi hapo hapo tulia fanya maamuzi siku nyingine kabisa lakini ukifanya maamuzi hapo hapo watu watajua kumbe ukifanya hv huyu lazima areact huu ni udhaifu mkubwa sana.. kuna siku utashindwa kufanya jambo kwa kuhofia wale wa mitandaoni watasemaje au kuna siku unaweza mtoa au kufukuza mtu kwa makelele wa watu wenye chuki tu ambao wamejaa mitandaoni.
 
Huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu?

Huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----

Na hata baada ya kukaa kwake miez mitatu alipokuja kuteua akawateua kina mollel na mwita waitara kuwa manaibu wazir,ndiyo nin sasa
 
Back
Top Bottom