Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

bora teuzi zingekua siri kama barua ya posa,hii ni kutiana aibu sasa,labda jamaa alishaanza kuvimba insta akabadili na jina liwe jina rasmi, daaah 😪🤤😭😭😭😀😀 haya maisha haya
 
Aisee mbona mambo ni haya sasa,nilishangaa sana kusikia jamaa kateuliwa kuongoza TPDC inaonesha kuna watu hawapo makini kabisa huko ndani,yani nilijiuliza mnoo imekaaje hii kitu...ndo mambo haya haya kiutani utani anakuja kuteuliwa mtu ambaye tayari ashakuwa marehemu(joke)...
 
Sio kwa ubaya ila hata nafasi za makatibu wakuu nyingi mama ameingizwa chaka kuna vilaza wengi sana mule.

Asilimia kubwa wali-underperform wengi walipaswa kuwekwa kando.
 
Kwanini Rais anateua mtu ambaye hamjui vizuri na hana CV zake mezani? washauri wa Rais kwenye mambo ya uteuzi ni akina nani!?
Hii inaonyesha Rais wetu si mtoa maamuzi,kuna mtu yuko nyuma ya pazia anapanga na kumwambia afanye,sasa mama akienda kulala na first gentlemen akigombezwa akiambiwa amechemka,Akiamka asubuhi kesho yake chakwanza ndio Kutengua kama alivyofanya hapo sasa.

huyu alierudishwa ndio selection ya mama,ila yule aliewekwa alikua kapangwa na wapangaji,Nchi sasa ina marais wawili (seen & unseen) kisha ndio VP.

kwasasa huku mtaani kwangu watu wana imani na VICE PRESIDENT kwa 90% ila imani kwa MAMA ipo 41% tu,kulingana na mtaa wangu.
 
Mchizi hata mlango wa ofisi hajauona katumbuliwa!!?[emoji38][emoji38]
 
hata Kigogo kasema huyu alikuwa DSO , kada wa CCM sasa haya mambo ta TPDC wapi nawapi? Samia analetwa mezani bila yeye kufanya personal scrutiny... kuna hatari mbele iakuja.. tena kubwa

Hatari ya kusomewa wewe unaweka sahihi kwa kumsikiliza aliye kusomea. Tunarudi zama za Luhanjo.
 
Kwamba watu 60m hakuna mwingne mwenye vigezo zaidi ya huyo?Hii nchi ni mali ya wachache.
is why hata kwenye interview hamfaulu wote.
yes kama umehudhuria duce, why watahiniwa 500 wanagombania nafasi moja. lakin wanachujwa mpaka anabaki mmoja?

thats whays happen. is not about 60mil? kati ya hao wako class 7, wapo ambao hawaja soma kabisa,wapo wasio na exposure , wapo ambao wamesoma lakin hawana work experince.

wote hawawezi kuwa sawa. ndio maana kuna vetting.
 
kweli huyo hatufai
Ilikuwa kwenye Uzi flani SEMA mods wakaunganisha Hadi Uzi ukapoteza maana, maana kijana kafanya uvccm, kasoma bachelor yake udom,na degree nyingine ya evening chuo Cha Yohana huko
 
Kwa hili mama anaonekana ni kivuli kuna wanaume wa shoka wapo nyuma yake wanamuongoza, since day one anaapa mama alionesha wazi viatu vya uraisi ni vikubwa kwake...

Mama hawezi fanya maamuzi ona sasa anaabika kisa teuzi ndogo ndogo kama hizi...

Halafu teuzi nyingi za mama ni za kimehumko na kimajungu zaidi..

Nafikiri wewe unatatizo la muhemko wa kulaumu bila kua na yakini unacho laumu we unajua sababu iliofanya kutenguliwa ? Mtu unaweza kutenguliwa tu kufuatana na utakayo yafanya baada ya kupata habari za kuteuliwa kwako kabla hujaingia ofisini unalijua hilo? hasa katka nafafasi za juu kama hizo zina tazama vitu vingi sio kigezo cha elimu tu kama walivyo wenye muono dhaifu wawo akili zao huishia kigezo cha elimu tu basi hawana upeo wa kutizama zaidi.
 
huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu??????huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----
Na alipoteua baada ya hiyo miezi mitatu alileta nini cha maana?
 
Huyo Mkurugenzi hata chuma alishindwa kumchomoa! Mama nae kanyanyua mikono! Uko moto pale aisee ...
 
Kwa hili mama anaonekana ni kivuli kuna wanaume wa shoka wapo nyuma yake wanamuongoza, since day one anaapa mama alionesha wazi viatu vya uraisi ni vikubwa kwake...

Mama hawezi fanya maamuzi ona sasa anaabika kisa teuzi ndogo ndogo kama hizi...

Halafu teuzi nyingi za mama ni za kimehumko na kimajungu zaidi..

Huu ni uamuzi sahihi kufanywa katika wakati sahihi na Mhe. Rais.

Angalizo kwa Mhe Rais, awe makini sana na washauri wake hasa timu yake ya washauri na avunje kabisa kitengo cha VETTING TISS na kukiunda upya.

Hii ilikuwa ni aibu kwa Taifa. Yaani unamtoa Christiano Ronaldo unamuingiza Sapong????

Hongera Mama Samia kwa kuchukua hatua za haraka!

Nampongeza kwa kuchukua hatua haraka baada ya kujua kaingizwa chaka....washauri wake na wote wanaohusika na VETTING wajue mama ni msikivu na haogopi kujisahihisha. Wawe makini na inputs wanazopeleka, waelewe anapokea inputs kutoka JF pia.
Kanyaga twende mama....nimependa usikivu wako na usivyoogopa kujisahihisha unapokosea....Endelea kufanya maamuzi, provided hayo maamuzi hayaondoi uhai wa mtu au kuingiza Nchi vitani, hamna shida. Songa mbele Rais wetu, tupo nyuma yako
 
Back
Top Bottom