OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ngoja siku ateue marehemu ndo utaelewa. hata kwa magufuli tulisema sana,mkatupuuza. leo hii mnamgeukaOKW BOBAN SUNZU ni wa kupuuza tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja siku ateue marehemu ndo utaelewa. hata kwa magufuli tulisema sana,mkatupuuza. leo hii mnamgeukaOKW BOBAN SUNZU ni wa kupuuza tu
Hahaaa watanzania hatuekeweki mtu akiwa fair ni shida akiwanyoosha wanaanza kulia Lia, jakaya was fair uchumi ulikuwa mzuri, democracia ikakua, aliajiri kila mwaka chakushangaza nyaraka za maaskofu zilikuwa zinatoka daily, kaja magufuli akawanyoosha Hadi maaskofu wakawa dhaifu, Sasa kwa Raisi Samia wameanza Tena, Tena mtu karekebisha wanachonga ngengaSi unaona wakina Nape, Kigwangalla wanapumua sahii kutoa utopolo wao kwenye media! Kipindi cha Jiwe, Thubutu...!
Mkuu punguza ukali wamaneno sote twajua kuwa unauchungu sana na nchii na nimzalendo pia.mimi sina resources kama za rais usinilinganishe na rais ambaye mpaka mswaki anapigwa. siwezi kuingia chama kifala namna hiyo
CV ya yule kijana wa uvccm iliniacha hoiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Dkt. James P. MATARAGIO kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue uteuzi huo ulianza tarehe 15 Desemba, 2014.
Dkt. James P. MATARAGIO ni Mtanzania ambaye hivi sasa anaishi na kufanya kazi nchini Marekani akiwa Senior Geoscientist wa Kampuni ya Bell Geospace, Houston, Marekani. Wasifu wake ni kama ifuatavyo:-
ELIMU:-
· Masters in Business Development (MBA), Chuo Kikuu cha Charlotte, North Caroline, Marekani (2008)
· PhD (Geochemistry, Mineralogy, Structural Geology and Petroleum Geology), Chuo Kikuu cha Missouri – Rolla, Missouri, Marekani (2005)
· MSc (Geochemistry and Petrology), Chuo Kikuu cha Okinawa, Japan (1997)
· BSc(Hons) (Geology), Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, 1994
UZOEFU WA KAZI:-
· Mwaka 2004 – hadi sasa, Senior Geoscientist, Bell Geospace Inc, Houston, Texas, USA
· 2001 – 2004, Mhadhiri Msaidizi, Chuo Kikuu cha Missouri, wakati akisoma Shahada ya Uzamivu
· 2000 – 2001, Mhadhiri Msaidizi, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
· 1999 – 2000, Meneja Mradi, Anglo Gold (Buzwagi)
· 1994 – 1999 -, Exploration Geologist, Anglo America Corporation.
Miongoni mwa makampuni makubwa ya kimataifa ya mafuta na gesi aliyofanya nayo kazi kwa niaba ya mwajiri wake Bell Geospace ni pamoja na Petrobras (Brazil); BP; Anadarko; Tullow; Pemex (Mexico); ANP (Brazil), Ecopetrol (Colombia); Petronas, (Malaysia) na Vale Rio Doce.
Aidha, Dkt. James P. MATARAGIO ni mmoja wa wataalam wa sekta ya madini, mafuta na gesi asilia waishio Marekani (Diaspora) ambao walijitolea kuishauri Serikali kuhusu sekta hiyo bila malipo.
Kwa kuzingatia elimu yake, uzoefu wake na uzalendo wake, Rais ana matumiani makubwa kuwa Dkt. James P. MATARAGIO ataleta nguvu mpya na uzoefu mkubwa wa kimataifa katika kuiongoza TPDC ili iwe kampuni kubwa ya kitaifa ya mafuta na gesi asilia kama yalivyo makampuni mengine ya kitaifa ya mafuta na gesi asilia duniani.
Ukali wa maneno uko wapi hapo mkuu?ni kidogo tu nimeamua kwenda sawa na ninayemjibuMkuu punguza ukali wamaneno sote twajua kuwa unauchungu sana na nchii na nimzalendo pia
Yaani Tumevurugwa! halafu hamna watu walinistaajabisha kama Maaskofu, JPM alikuwa anajua kuwaweka mtegoni baada ya corona kuingia akaitisha Maombi halafu ghafla akakatisha kutangaza maambukizi halafu akadai Maombi yameponya hamna alimpinga!Hahaaa watanzania hatuekeweki mtu akiwa fair ni shida akiwanyoosha wanaanza kulia Lia, jakaya was fair uchumi ulikuwa mzuri, democracia ikakua, aliajiri kila mwaka chakushangaza nyaraka za maaskofu zilikuwa zinatoka daily, kaja magufuli akawanyoosha Hadi maaskofu wakawa dhaifu, Sasa kwa Raisi Samia wameanza Tena, Tena mtu karekebisha wanachonga ngenga
Kama una kumbu kumbu nzuri huyu Mataragio alifanya pia kazi na JPM; na JPM ndiye aliyeamuru afutiwe kesi aliyokuwa nayo mahakamani baada ya kuona kuwa haikuwa na msingi.James mataragio ni mtu wa karibu sana na JK. Hivyo kumrudisha tena mataragio ni yale tuliyoyasema swali kuwa JK= SSH
Mchakato wa teuzi za Viongozi wa Mashirika ya Umma zinafanywa na Wizara husika.hata Kigogo kasema huyu alikuwa DSO , kada wa CCM sasa haya mambo ta TPDC wapi nawapi? Samia analetwa mezani bila yeye kufanya personal scrutiny... kuna hatari mbele iakuja.. tena kubwa
Jamani tusimuhukumu bure, hata Jiwe aliyekuwa anakesha na mafaili alikuwa anapigwa!huyu Rais siyo smart
Icheki google. Utaipata kwenye post iliyotumwa facebook na makada.Iweke hapa cv yake.
SIJUI MH RAIS ALITUMIA VIGEZO GANI..MTY WA BSC CIMMUNITY DLOMENT KUWA DG WA TPDC?SIJUI ANGEFANYA KITU GABI OALEPole kijana wangu
One day YES
DmkaliAlikuwa kanisani Leo misa ya shukrani kushukuru uteuzi!
Ibada imeisha kakutana na utenguzi!
Kazimia hapa tupo tunampepea na chotezo za ubani
Mbona imetokea sana fatilia bana kuna watu walitajwa kuteuliwa lakini walitenguliwa kabla ya kuapishwa tena wengine wakiwa wamefika ikuluDuuu hii habari mpya kabisa haijawahi kutokea miaka yote mitano ya Magufuli.