Kwa hiyo hao viongozi wa mashirika wana wajibishwa na nani? Kama wao wameelekezwa wawachukulie hatua wa chini yao….wao wana wajibishwa na nani? Katibu kiongozi? Rais hana imani na CAG? Hahahaha kwanini asiwachukulie hatua za kuwwaweka pembeni watu ambao wako kwenye mamlaka yake? Kwanini ana kwepa majukumu yake? CAG amesema uongo?
kama nimeelewa vibaya utanisahihisha
Ina Maana Makatibu wakuu+Wakurugenzi waisome report na kuifanyia kazi!
Ina Maana Kama kuna Makosa/Mapungufu ambayo yanefanya say na Afisa A,Au Meneja fulani,Afisa fulani,Mkuu wa Idara,Mhasibu,Engineer,Afisa ugavi,Mwanasheria,nk nk
hao wakuu waliotajwa wamepewa Rungu wamuwajibishe!
Kwani Kuna Makosa hapo?
Nisahihishe kama Nitakuwa nimekosea kiutendaji!(Protocol)
Instead ya Kuwawajibisha Mawaziri/Makatibu wakuu au wakurugenzi.
Wewe Una mawazo gani na Kwa nini?
Nadhani Kama ulivyosema wakuu hao wa Mashirika Labda hawahusiki moja kwa moja na Utendaji!…Labda kuna wa Chini anaanzisha yeye Anaidhinisha…
sasa Anatafutwa alieanzisha? Kuomba manunuzi fulani Au Sijui nisemeje bt nadhani
Kila kitu kinawnzia chini kwenda Juu!
Kuna Uwajibikaji kwa nafasi hata kama hujatenda(Yaani Kiongozi,Na Kuwajibika kiutendaji…Alietenda say Afisa A.
nisahihishe Mkuu kama nimekosea