Ikizu Bukama
Senior Member
- Nov 26, 2023
- 183
- 378
Umetuchomea utambi,ilikuwa mimi Nyakao toka Ikizu Mission niteuliwe,umevuruga kila kitu
Kama ni ugonjwa basi nchi hii imepata ugonjwa wa kifafa..huyo anayefanya vetting ni km ameamua kupendelea watu kutoka mkoa wa Mara wadominate nafasi serikalini, ukiangalia kupitia majina..nafasi nyingi kwa sasa ni watu wa kutoka mara..nyabudege, matinyi, makori, Nyasabo, mafuru.. kuanzia madc, wakurugenzi nk orodha ni ndefu..stop this kind of selfishness!