Rais Samia avunja Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO, ateua Mwenyekiti mpya

Rais Samia avunja Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO, ateua Mwenyekiti mpya

Pamoja na mapungufu huyu mama ni chaguo la Mungu

Kaanza na Ardhi Kwa kumuweka kijana sahihi chaguo la Mungu

Ukiisha itawala Ardhi umetawala Dunia

Wasiwasi wangu ni Kwa wale wanaotaka kufunga gavana Waziri kijana kukumbatia uchama kupitia uvamizi wa maeneo ya wamiliki halali haswa Dodoma

Mama wembe huo huo
Waziri Jerry wembe huohuo
Wewe ndio Jeri?
 
Biteko nafasi ya unaibu waziri mkuu ingemtosha kwakuwa mteule alikuwa na ramani yake isiyokuwa na mwisho , kazi zote za Nishati anafanya Yule bi dada na katibu mkuu Mramba hivyo tusitegemee mabadiliko yenye tija Kwa matatizo ya umeme haswa la mgao unaovutwa mbele kila kukicha.
Raisi SSH amezungukwa na kundi la wasio jielewa(washauri maslahi) hivyo na yeye anajitisha Kwa kinyago chake.
NCHI IWE KWENYE MGAO MIEZI ZAIDI YA 3 NA HAKUNA HATUA ZA DHARURA ZINACHUKULIWA hapa ndipo hayati Jiwe anagonga hodi kwenye vichwa vya Watanzania.
 
Biteko nafasi ya unaibu waziri mkuu ingemtosha kwakuwa mteule alikuwa na ramani yake isiyokuwa na mwisho , kazi zote za Nishati anafanya Yule bi dada na katibu mkuu Mramba hivyo tusitegemee mabadiliko yenye tija Kwa matatizo ya umeme haswa la mgao unaovutwa mbele kila kukicha.
Raisi SSH amezungukwa na kundi la wasio jielewa(washauri maslahi) hivyo na yeye anajitisha Kwa kinyago chake.
NCHI IWE KWENYE MGAO MIEZI ZAIDI YA 3 NA HAKUNA HATUA ZA DHARURA ZINACHUKULIWA hapa ndipo hayati Jiwe anagonga hodi kwenye vichwa vya Watanzania.
Amekuwa mtu wa hovyo hana tofauti na Ummy na Makamba
 
Anavunja Anaunda Mpya Lakini Tatizo Lipo Vile Vile
 
Amekuwa mtu wa hovyo hana tofauti na Ummy na Makamba
Ni afadhali angebakishwa Jmakamba na kufungiwa kidhibiti Mwendo Kwa Yale yenye kulitoa shirika katika reli( Uhaba wa vifaa, kutumia gari binafsi nchi nzima, kuwa na makundi ya kiongozi yasiyo na tija katika uendeshaji WA shirika n.k).
Biteko ni mzigo uumizao wananchi TANESCO , MH Raisi kujikwaa si kuanguka hakuna wa kukucheka labda mpuuzi pekee.
 
Ni afadhali angebakishwa Jmakamba na kufungiwa kidhibiti Mwendo Kwa Yale yenye kulitoa shirika katika reli( Uhaba wa vifaa, kutumia gari binafsi nchi nzima, kuwa na makundi ya kiongozi yasiyo na tija katika uendeshaji WA shirika n.k).
Biteko ni mzigo uumizao wananchi TANESCO , MH Raisi kujikwaa si kuanguka hakuna wa kukucheka labda mpuuzi pekee.
Hapa hili ni jangili kubwa, why Kalemani asirudi?
 
Hapa hili ni jangili kubwa, why Kalemani asirudi
Kalemani siyo mtu Sahihi Ile wizara inataka mtu mfuatiliaji na mwenye ushawishi Kwa Mh Raisi kama alivyofanya Jmakamba shida ilikuja aliamini katika ushikaji sana Kwa Maharage ikawa King yake ya kumtoa jikoni. Ccm iko na wabunge wengi wafuatiliaji na wenye ushawishi Kwa kiongozi mkuu.
 
Kalemani siyo mtu Sahihi Ile wizara inataka mtu mfuatiliaji na mwenye ushawishi Kwa Mh Raisi kama alivyofanya Jmakamba shida ilikuja aliamini katika ushikaji sana Kwa Maharage ikawa King yake ya kumtoa jikoni. Ccm iko na wabunge wengi wafuatiliaji na wenye ushawishi Kwa kiongozi mkuu.
Enzi ya Kalema umeme 27,000 unafungiwa siku hiyo hiyo na haukatiki akaja huyu jangili 320,000 kufungiwa ni hisani hata miezi 6 unasubiri, Kalemani alikuwa anazunguka kufuatilia bei za gas n.k, Makamba ni mpiga dili hafai
 
Huyu naye amekuwa MC wa Rais badala ya kuwa msaidizi
Ameangukiwa na dodo Chini ya m'buyu ungetarajia afanye nini lakini upepo wa Diblo si mchezo amekuwa si lolote licha ya coverage za media dhidi yake.
Ukisikia msomi hajaelimika jamaa anaingia,narudi tena Biteko ni mzigo Kwa Watanzania atoke Nishati SSH unakwama wapi ?.
 
Ameangukiwa na dodo Chini ya m'buyu ungetarajia afanye nini lakini upepo wa Diblo si mchezo amekuwa si lolote licha ya coverage za media dhidi yake.
Ukisikia msomi hajaelimika jamaa anaingia,narudi tena Biteko ni mzigo Kwa Watanzania atoke Nishati SSH unakwama wapi ?.
Hatari sn
 
Raia hamjamalizia kusoma hiyo taarifa, hakuna alotumbuliwa ni mabadiliko tu yametokana na m/kiti wa awali kupata wadhifa mwingine.
 
Biteko nafasi ya unaibu waziri mkuu ingemtosha kwakuwa mteule alikuwa na ramani yake isiyokuwa na mwisho , kazi zote za Nishati anafanya Yule bi dada na katibu mkuu Mramba hivyo tusitegemee mabadiliko yenye tija Kwa matatizo ya umeme haswa la mgao unaovutwa mbele kila kukicha.
Raisi SSH amezungukwa na kundi la wasio jielewa(washauri maslahi) hivyo na yeye anajitisha Kwa kinyago chake.
NCHI IWE KWENYE MGAO MIEZI ZAIDI YA 3 NA HAKUNA HATUA ZA DHARURA ZINACHUKULIWA hapa ndipo hayati Jiwe anagonga hodi kwenye vichwa vya Watanzania.
Magufuli alitutendea haki kwenye umeme. Ulikuwa haukatiki ovyoovyo
 
ukweli ni kwamba wamekatazwa kuwasha umeme sasa wamekosa sababu wanalaumu mpaka bodi ya tanesco.

kila kitu kimepangwa, tanesco yetu inaenda kuuzwa inatafutwa sababu tu kwani ni masharti ya mikopo waliochukuwa, ukitaka kujua tanzagiza inakoelekea angalia kaka yenu ruto anavyouza kenya, kila kitu kimepangwa …
 
Mtangulizi wa Biteko ndugu January Makamba alikuwa very clear, akasema kuna tatizo la miundombinu ya uzalishaji, na usambazaji wa umeme. Hakuishia hapo, pia alisema matatizo haya ili kuyamaliza yatahitaji fedha Tshs Trillion 4. Akamaliza kwa kusema bwawa la mwalimu Nyerere ni miongoni mwa mambo yatakayochangia kupunguza tatizo la umeme lkn siyo kumalizia kabisa.

Sasa huyu ndugu Biteko tangu aingie hapo wizarani amekuwa akiwinda watu wa taasisi zilizo chini yake badala ya kukabiliana na mzizi wa tatizo.

Hata leo rais amevunja bodi ya TANESCO kufuatia ushauri wa Biteko alidhani kwa kufanya hivyo tatizo la umeme litakwisha.

View attachment 2847569

The minister of energy has to swallow the bitter pills ; electric power generation and distribution are the main hurdles for the efficacy and efficiency of TANESCO; not the manpower.

Namshauri Biteko amwambie ukweli huyo mama, asimuyumbishe.
Biteko amevimba kichwa na Cheo cha Naibu Waziri Mkuu kuliko Uwaziri. Naona sasa kila sehemu ni Mgeni Rasmi. Hana muda hata wa kushughulikia tatizo la Umeme.
 
Kama ni ugonjwa basi nchi hii imepata ugonjwa wa kifafa..huyo anayefanya vetting ni km ameamua kupendelea watu kutoka mkoa wa Mara wadominate nafasi serikalini, ukiangalia kupitia majina..nafasi nyingi kwa sasa ni watu wa kutoka mara..nyabudege, matinyi, makori, Nyasabo, mafuru.. kuanzia madc, wakurugenzi nk orodha ni ndefu..stop this kind of selfishness!

Anamuenzi baba wa Taifa
 
Kunanjia moja tu.

Nayo ni kuibandari tanesco

mengine hayo yatabak kuwa maigizo tu
 
Back
Top Bottom