Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kuzidi Pwani, Tanga na Zanzibar?Kama ni ugonjwa basi nchi hii imepata ugonjwa wa kifafa..huyo anayefanya vetting ni km ameamua kupendelea watu kutoka mkoa wa Mara wadominate nafasi serikalini, ukiangalia kupitia majina..nafasi nyingi kwa sasa ni watu wa kutoka mara..nyabudege, matinyi, makori, Nyasabo, mafuru.. kuanzia madc, wakurugenzi nk orodha ni ndefu..stop this kind of selfishness!
Pamoja na mapungufu huyu mama ni chaguo la Mungu
Kaanza na Ardhi Kwa kumuweka kijana sahihi chaguo la Mungu
Ukiisha itawala Ardhi umetawala Dunia
Wasiwasi wangu ni Kwa wale wanaotaka kufunga gavana Waziri kijana kukumbatia uchama kupitia uvamizi wa maeneo ya wamiliki halali haswa Dodoma
Mama wembe huo huo
Waziri Jerry wembe huohuo
..miezi mitatu ya ultimatum inaisha Dec 26.
..Maza hajui anafanya nini. Yeye ni bora liende.
..alipomteua huyo Meja Jenerali kuwa Mwenyekiti wa Bodi hakujua kuwa anasubiri kuthibitishwa kuwa balozi?
Huyo Makamba mwenyewe alikuta Hali nzuri ya umeme akaiacha katika Hali mbayaMtangulizi wa Biteko ndugu January Makamba alikuwa very clear, akasema kuna tatizo la miundombinu ya uzalishaji, na usambazaji wa umeme. Hakuishia hapo, pia alisema matatizo haya ili kuyamaliza yatahitaji fedha Tshs Trillion 4. Akamaliza kwa kusema bwawa la mwalimu Nyerere ni miongoni mwa mambo yatakayochangia kupunguza tatizo la umeme lkn siyo kumalizia kabisa.
Sasa huyu ndugu Biteko tangu aingie hapo wizarani amekuwa akiwinda watu wa taasisi zilizo chini yake badala ya kukabiliana na mzizi wa tatizo.
Hata leo rais amevunja bodi ya TANESCO kufuatia ushauri wa Biteko alidhani kwa kufanya hivyo tatizo la umeme litakwisha.
View attachment 2847569
The minister of energy has to swallow the bitter pills ; electric power generation and distribution are the main hurdles for the efficacy and efficiency of TANESCO; not the manpower.
Namshauri Biteko amwambie ukweli huyo mama, asimuyumbishe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had mbavu zinauma, wallahSiku hizi anapaka hadi foundisheni
Hakika, na aliruhusu matengenezo Kwa kiwango kikubwa katika njia za kusafirisha na kusambazia umeme shida ilikuwa Kwa Kalemani haikuwa na utashi wa kumshauri hayati kufanyia matengenezo na mitambo yeye alibakia kutake over Kwa media Kwa miradi ya REA ni jinga fulani , ameona aliyemfuatia akapenyeza wazo Kwa Mh Raisi akaweka mzigo Kwa matengenezo sasa urafi ukamjaa ikawa ni kujichotea Kwa kuset kandarasi za michongo na kuziweka kazi zote katika kapu moja ili aone anachota wapi na Kwa kiwango gani. Raisi SSH umejikwaa Kwa BITEKO jilekebishe safari bado.Magufuli alitutendea haki kwenye umeme. Ulikuwa haukatiki ovyoovyo
Haisaidii endapo mabeans na kipara hawajashtakiwaView attachment 2847453
Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ikiwa ni baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wake, Meja Jenerali Paul Kisesa kuteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uganda.
Kufuatia uamuzi huo, Rais amemteua Dkt. Rhimo Simeon Nyasabo kuwa Mwenyekiti wa Bodi hiyo. Dkt. Nyasabo ni Mkurugenzi wa Maendeleao ya Biashara wa Benki ya Azania.
Uteuzi huu unaanza mara moja
Ndio maana performance hakuna kwani nepotism haijawahi kuwa na matokeo chanya hata siku moja!.stop this kind of selfishness!
MAMA SAMIA AFANYE NINI WAKATI NCHI HII MNAOJIITA WASOMI HAKUNA MNACHOJUA ZAIDI YA WIZI NA KUPIGA MADILI??
BILA SHAKA YULE KAFIRI MWENZENU MAGUFULI ALIWANYOOSHA SANA HADI MKAFIKIA HATUA YA KUMCHUKIA NA KUMWITA KATILI,THE SO CALLED WASOMI HAWA WA KANISA HAWANA HOFU YA MUNGU,WANACHOJUA NI WIZI NA UFISADI TUH,DISGRACE TO THIS NATION,HAMNA CREATIVITY HAMNA VISION WALA MISSION,NCHI HII MMEITIA MATATIZONI SANA
Bandika bandua inaendelea... Bado mbili za kufungia mwakaView attachment 2847453
Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ikiwa ni baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wake, Meja Jenerali Paul Kisesa kuteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uganda.
Kufuatia uamuzi huo, Rais amemteua Dkt. Rhimo Simeon Nyasabo kuwa Mwenyekiti wa Bodi hiyo. Dkt. Nyasabo ni Mkurugenzi wa Maendeleao ya Biashara wa Benki ya Azania.
Uteuzi huu unaanza mara moja.
Wewe baki kwenye uchawa.tatizo la umeme ni zaidi ya kubadilisha viongozi tanesco.Hamuachi kulaumu.... Watanzania hususani Cdm hamna jema
View attachment 2847453
Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) ikiwa ni baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wake, Meja Jenerali Paul Kisesa kuteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uganda.
Kufuatia uamuzi huo, Rais amemteua Dkt. Rhimo Simeon Nyasabo kuwa Mwenyekiti wa Bodi hiyo. Dkt. Nyasabo ni Mkurugenzi wa Maendeleao ya Biashara wa Benki ya Azania.
Uteuzi huu unaanza mara moja.
Tangu asubuhi mpaka muda huu hakuna umeme, hii nchi ni shida kwa majigambo
Ila msisahau na historia,ilivyotenganishwa kipindi fulani impact yake ilikuwa nini hadi tuka ajwaa na kusema iwe hivi ilivyoTATIZO LA TANESCO SIO BODI WALA WATENDAJI
TATIZO LA TANESCO NI UKUBWA wa SHIRIKA hebu ligawanyeni Shirika
Uuzaji uwe pekee yake,nguzo na usambazaji uwe pekee yake na vyanzo kwa maana ya mabwawa na utafutaji umeme uwe pekee yake
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app