Mama hajajua katika note book ya wakoloni wa kizungu kuna siri nzito ikielekeza wale wote watakao enda Tanganyika wawe makini na jamii ya watu wa mara katika utawala.
Ni watu ambao hawafugiki, hawa aminiki na wenye maamuzi ya kijasiri bila kufikiria kesho itakuwaje .
Sent using
Jamii Forums mobile app