Monica Mgeni
Member
- Oct 7, 2021
- 82
- 134
Fuatilia kupitia link hii:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Where's the link?
Kimalikia ni kipimo Cha Akili,??Sema Samia anakikanyaga cha malkia vizuri kuliko mwendazake mzee the the you you now we are in the right track.
Fuatilia kupitia link hii:
He he he hTutumie na ile picha anasubiri daladala aende kwenye studio...ili tujue kwa kiasi gani amewaacha hoi wazungu.....Haaaaaahaaaa
Wazungu watu wabaya sana...kama wahuni walivyoHe he he h
Wamefanyaje mkuuWazungu watu wabaya sana...kama wahuni walivyo
Fuatilia kupitia link hii:
Kwa nini asubiri daladala? Ina maana wenyeji wake (ubalozi & wenye filamu) hawana magari? Kwa nini wasitumie ubber badala ya kusubiri mwendokasi?Tutumie na ile picha anasubiri daladala aende kwenye studio...ili tujue kwa kiasi gani amewaacha hoi wazungu.....Haaaaaahaaaa
Kama aliunga unga na leo yupo kwenye ngazi hile, Mimi naweza sema special to bravo to her. Wewe ambae umeenda direct kwenye kusoma kwako leo hii upo nyuma ukijari kumwa mineKimalikia ni kipimo Cha Akili,??
Mbona anajulikana kua alifeli feli sana tu, hata kusoma kwake alisoma Kwa kuunga unga tu sababu ni wale wa Vichwa vizito, ujanja Mdomoni.
Kwani akili na maana ya akili ni nini?Kimalikia ni kipimo Cha Akili,??
Mbona anajulikana kua alifeli feli sana tu, hata kusoma kwake alisoma Kwa kuunga unga tu sababu ni wale wa Vichwa vizito, ujanja Mdomoni.
What so special about kupendwa na wasukuma?Halafu wasukuma wote hawajawahi kimpenfa kabisa huyu mama[emoji28]
Fuatilia kupitia link hii:
😍What so special about kupendwa na wasukuma?
I'm not condescending lakini wasukuma si ndio wale wanaoshindwa kutamka maneno ya kiswahili fasaha?
Seriously spare madam president the random nonsense, would you?
Anajaribu jaribu ingawa siyo kivileeèee!!Sema Samia anakikanyaga cha malkia vizuri kuliko mwendazake mzee the the you you now we are in the right track.
Fuatilia kupitia link hii: