Rais SAMIA awaacha hoi Wazungu Marekani.

Rais SAMIA awaacha hoi Wazungu Marekani.

Kimalikia ni kipimo Cha Akili,??


Mbona anajulikana kua alifeli feli sana tu, hata kusoma kwake alisoma Kwa kuunga unga tu sababu ni wale wa Vichwa vizito, ujanja Mdomoni.
Sio sababu ya kutokujua lugha nyingine na kuiongea!!
 
Sema Samia anakikanyaga cha malkia vizuri kuliko mwendazake mzee the the you you now we are in the right track.
Magufuli kingereza alikuwa hajui, na alitamani kingereza kingekuwa kiumbe hai ,walai angekipa kesi ya mauaji mshenzi yule!
 
Mwalimu Nyerere alisema ukiona hawa jamaa wanakusifia sifia sana ujue kuna mahali 'umeteleza', jikague.
 
Kama aliunga unga na leo yupo kwenye ngazi hile, Mimi naweza sema special to bravo to her. Wewe ambae umeenda direct kwenye kusoma kwako leo hii upo nyuma ukijari kumwa mine
Lakini kwanza tukubaliane.

Je ni kweli alisoma kwa "kushindwa shindwa na kuunga unga"?

Tuliondoe hili njiani kwanza, hayo mengine tuyajadili baada ya kujua ukweli huo.
 
Lakini kwanza tukubaliane.

Je ni kweli alisoma kwa "kushindwa shindwa na kuunga unga"?

Tuliondoe hili njiani kwanza, hayo mengine tuyajadili baada ya kujua ukweli huo.
Alishindwa bana,maana kwa wakati wao elimu ilikua almost bure tu na pia kwa maelezo yake mzee wake hakushindwa kumsomesha ila yeye ndiye hakua na sifa za kusonga mbele.
 
Magufuli kingereza alikuwa hajui, na alitamani kingereza kingekuwa kiumbe hai ,walai angekipa kesi ya mauaji mshenzi yule!
Marehemu, hata Kiswahili alikuwa hajui. Hakuweza kuongea Kiswahili fasaha.

Katika wote, walioizimudu vizuri lugha zetu zote mbili (Tanzania official languages), Kiingereza na Kiswahili:

1) Mwalimu Nyerere
2) Benjamin Mkapa

Hawa wengine, Mwinyi, Kikwete na Samia, wanaeleweka. Wapo kwenye average.

The worst katika Lugha zote 2 alikuwa marehemu. Hakuweza kuongea Kiswahili kizuri, na kwenye Kiingereza ilikuwa ni shida kabisa kiasi cha mtu unashindwa kujua aliwezaje kufanya masomo yake ya elimu ya juu yanayofundishwa kwa lugha ya Kiingereza.
 
Kwahiyo kumbe kila anayekupigia Makofi anakukubali na kwamba Umewaacha Hoi? Kuna Watu mna matatizo mno hasa ya Ulimbukeni ila hamjajishtukia tu.
Halafu mbona anasoma, kwanza hajiamini anasoma kama vile kabanwa na pumu 😃
 
Sema Samia anakikanyaga cha malkia vizuri kuliko mwendazake mzee the the you you now we are in the right track.
Sema aliyemwandalia hotuba ni maimuna, hawezi kusema I and Tanzanian!
 
Kuna Watu Wamenuna!
Nchi ngumu sana hii!
kuna watu wamejaaliwa wivu na chuki.

Furaha yao wamuone anashindwa ku~perform.....lkn sio hivi anavyo upiga mwingi.......yaani wengi wanaharisha kwa uchingu.
Mungu mlinde Rais wetu na watu wenye chuki na wivu wa kichawi.
 
Mwalimu Nyerere alisema ukiona hawa jamaa wanakusifia sifia sana ujue kuna mahali 'umeteleza', jikague.
achana na nyerere yeye ndiye aliyetufikisha hapa nyerere anaondoka kumwachia Mwinyi nchi ilikuwa taabani hakuna chakula, hakuna nguo, viatu tulikuwa tunavaa mataruma, barabara mbovu hamuyajui hayo au ulikuwa hujazaliwa tumwachie tu huyo nyerere huko aliko lakini yeye ndiye aliyesababisha hi nchi kuwa nyuma kiuchmi kuliko jirani yetu kenya.
 
Back
Top Bottom