Skylar
JF-Expert Member
- Nov 10, 2021
- 2,334
- 5,550
Pipo uzidi to dai in ze rekiSema Samia anakikanyaga cha malkia vizuri kuliko mwendazake mzee the the you you now we are in the right track.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pipo uzidi to dai in ze rekiSema Samia anakikanyaga cha malkia vizuri kuliko mwendazake mzee the the you you now we are in the right track.
Fuatilia kupitia link hii:
ukweli ndio mkuuMarehemu, hata Kiswahili alikuwa hajui. Hakuweza kuongea Kiswahili fasaha.
Katika wote, walioizimudu vizuri lugha zetu zote mbili (Tanzania official languages), Kiingereza na Kiswahili:
1) Mwalimu Nyerere
2) Benjamin Mkapa
Hawa wengine, Mwinyi, Kikwete na Samia, wanaeleweka. Wapo kwenye average.
The worst katika Lugha zote 2 alikuwa marehemu. Hakuweza kuongea Kiswahili kizuri, na kwenye Kiingereza ilikuwa ni shida kabisa kiasi cha mtu unashindwa kujua aliwezaje kufanya masomo yake ya elimu ya juu yanayofundishwa kwa lugha ya Kiingereza.
take ur time muhaini wewe, we siku zote na kundi lako mnamtusi raisi nakufikia kusema mtaanzisha Vita kkkkenge nyieHongera sana Mama, we are proud of you Mama
Tumpende kwa lipi la maaanaHalafu wasukuma wote hawajawahi kimpenfa kabisa huyu mama[emoji28]
Yeye mwenyewe alipokelewaje kule London!?..halafu mzee siyo rejea ya uongozi au tafakuri jadidi,aliipoteza nchiMwalimu Nyerere alisema ukiona hawa jamaa wanakusifia sifia sana ujue kuna mahali 'umeteleza', jikague.
Mkinyimwa Uhuru wa maoni na habari mnalia,mkipewa mnatukana watu,unajiona upo salama,wakikukamata wakuphile utabaki kulialia na kukata viunohuyo mama asipokaa vizuri wazungu watamtomber wakijifanya wanaigiza
wataingiza kweli ooh
wewe uliyefaulu na huna elimu ya kuunga unga Leo upo kitengo Gani ukimlinganisha na yule aliyeunga unga?Kimalikia ni kipimo Cha Akili,??
Mbona anajulikana kua alifeli feli sana tu, hata kusoma kwake alisoma Kwa kuunga unga tu sababu ni wale wa Vichwa vizito, ujanja Mdomoni.
Aisee ili mradi tuu kambi hasimu mchokozane.Sema Samia anakikanyaga cha malkia vizuri kuliko mwendazake mzee the the you you now we are in the right track.
tusisemeMkinyimwa Uhuru wa maoni na habari mnalia,mkipewa mnatukana watu,unajiona upo salama,wakikukamata wakuphile utabaki kulialia na kukata viuno
Ha ha ha haaa! Kwa hiyo Kenya wananchi wake wote wanalamba asali toka enzi za Mwalimu Nyerere tofauti na sisi ambao wote sasa tunalamba asali kipindi hiki. Kweli mambo ni mengi sana.jirani yetu kenya.
Fuatilia kupitia link hii:
Hakijakaa sawa hichi..😀The purpose of I and my team being here is to bring to the attention of the people of the United States of America and the world on the beautiful country with a lot of potentials, the country is called United Republic of Tanzania.
Wasukuma mafala tu
"Kusonga mbele" kwenda wapi?Alishindwa bana,maana kwa wakati wao elimu ilikua almost bure tu na pia kwa maelezo yake mzee wake hakushindwa kumsomesha ila yeye ndiye hakua na sifa za kusonga mbele.
Wewe ni punguani asiyejua kitu.achana na nyerere yeye ndiye aliyetufikisha hapa nyerere anaondoka kumwachia Mwinyi nchi ilikuwa taabani hakuna chakula, hakuna nguo, viatu tulikuwa tunavaa mataruma, barabara mbovu hamuyajui hayo au ulikuwa hujazaliwa tumwachie tu huyo nyerere huko aliko lakini yeye ndiye aliyesababisha hi nchi kuwa nyuma kiuchmi kuliko jirani yetu kenya.
Hahahaa unakula chakula asilimia kubwa tumekilima sisi mafara ..kenge mmoja mkaa kwa shemeji yako....Wasukuma mafala tu
We ngosha usikute hapo umevaa hirizi na. Nyumbani una tunguli, nyie mmechelewa Sana subirini miaka 50 ijayo mkistaarabikaHahahaa unakula chakula asilimia kubwa tumekilima sisi mafara ..kenge mmoja mkaa kwa shemeji yako....
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app