Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anawaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua wakiwemo;
1. Prof. Elisante Ole Gabriel kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania
2. Balozi Mteule, Lt. Jen. Yakub Hassan Mohamed kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uturuki
3. Balozi Mteule Mahmoud Thabit Kombo kuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia
4. Balozi Mteule Elsie Sia Kanza kuwa Balozi wa Tanzania nchini Marekani