Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Haupigi mwingi tena?Ndio kazi anayoweza zaidi,kufuatilia mambo ya msingi hamna kitu, hapa tulipigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haupigi mwingi tena?Ndio kazi anayoweza zaidi,kufuatilia mambo ya msingi hamna kitu, hapa tulipigwa
Sawa mwali, wasalimie Lumumber...🙄
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anawaapisha Viongozi mbalimbali aliowateua wakiwemo;
1. Prof. Elisante Ole Gabriel kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania
2. Balozi Mteule, Lt. Jen. Yakub Hassan Mohamed kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uturuki
3. Balozi Mteule Mahmoud Thabit Kombo kuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia
4. Balozi Mteule Elsie Sia Kanza kuwa Balozi wa Tanzania nchini Marekani
Wala sijawahi kulitumia hilo nenoHaupigi mwingi tena???
Wewe na nani yanawaendeaHahahahahaha.
Shauri yenu, sisi Watanzania yetu yanatuendea
Huyu mama anaipeleka nchi kuwa chini ya sheria za kiislamu. Ni muda tu utaongea!
Ni kweli anaelekea ngorongoro Crater.Hamna hoja nyinyi.
Madam President anachanja mbuga tu
Afadhali yeye anaipeleka kufika ni majaliwa- Nyie CHADEMA ni KKKT na RC na RC na KKKT ni CHADEMAHuyu mama anaipeleka nchi kuwa chini ya sheria za kiislamu. Ni muda tu utaongea!