Rais Samia awaapisha Wakuu wa Mikoa. Afanya mabadiliko madogo, Kafulila apelekwa Simiyu, Mongella aletwa Arusha

Yaan hapo ni kama alifanya demotion Kwa Mongela , yaan unamtoa mwanza unaenda kumtupa Simiyu? Daah Bora amembalansia aisee
Hakuna watu walio na furaha kama watu wa Simiyu kuondolewa huo mzigo,Simiyu wanahitaji mtu mbunifu na mchapakazi kama Mtaka, walikuwa wameumia watu wangu hatimae God kawasikia huyo mzoefu acha akapumzikie ARUSHA, Simiyu wanahitaji kukimbia sio kutembea.
 
Wakati anampanga Kafulila Arusha alikuwa hajui kama ndiyo mgeni? mbona Makonda alianzia Dar?
Taaarifa ndg mwenyekiti... taaarifa ndugu mwekekiti. Eeer. Eeeer! Kama sababu ni hiyo, kwanini Kunenge kapelekwa pwani, tuseme ni demotion ile au ni nini?
 
Mwenye cv ya Mongella tafadhali.
 
Kwani hujasikia
kuna majaribio Simiyu,Jembe lililokuwa huko limepanda hadhi hadi DODOMA halafu unasema mkoa wa majaribio?
Kwani hujasikia sababu za kumtoa Arusha na kumpeleka simiyu si wamesema wanampeleka huko kwa kuwa ndio anaanza nafasi ya ukuu wa mkoa
 
Kwani hujasikia
Kwani hujasikia sababu za kumtoa Arusha na kumpeleka simiyu si wamesema wanampeleka huko kwa kuwa ndio anaanza nafasi ya ukuu wa mkoa
Kwa ujumla wasaidizi wa mama inabidi wajipange hawako sawa,ukienda Simiyu hutaamini kuwa huo ni mkoa umeanzishwa miaka kama kumi tu iliyopita,ni mkoa unakimbia kimaendeleo,lakini kwangu naamini Kafulila yupo vizuri kuliko Mongela,alifeli Mwanza kila mtu aliona.
 
Utafikir mikoa mingine wanaishi watu nusu....kuna mikoa mikubwa kieneo lakini inazidiwa na mikoa midogo kieneo and vice versa katika suala la complicity na maendeleo
 
Kwani hujasikia
Kwani hujasikia sababu za kumtoa Arusha na kumpeleka simiyu si wamesema wanampeleka huko kwa kuwa ndio anaanza nafasi ya ukuu wa mkoa
Kwa hiyo Simiyu ni kwa majaribio?! Mbona mkoa mpya ule na umekimbia na kukimbiza kuliko mikoa mikongwe in the shortest period of time
 
Huyo jirani nae kapata shavu, alishaukana uraia wa Burundi?
 



Mtaka ni hitaji la wengi!

Hata huku Tanga ninamuota tuletewe aje ahamaishe elimu na kuhimiza mindsets za watu kupenda kufanyakazi Kwa bidii.

Sema sasa ni kama wana mvuruga ki-psychologically.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…